Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Hekima

Hekima

Tunapaswa kufanya nini kama tunapenda kuwa na hekima ya kweli?

Tunaweza kupata hekima ya kweli wapi?

Ni muzuri kusali kwa Mungu juu ya kupata hekima?

Kol 1:9; Yak 1:5

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • 2Ny 1:​8-12—Mufalme kijana Sulemani anaomba hekima juu ya kuongoza muzuri Waisraeli, na Yehova anafurahia kujibia ombi yake

    • Mez 2:​1-5—Hekima, uelewaji, na utambuzi, vinafananishwa na hazina zenye kufichwa zenye inaomba kujikaza kutafuta, na Yehova anabariki wale wenye kuzitafuta kwa bidii

Yehova anatoaka hekima kupitia nani na kwa musaada wa nini?

Isa 11:2; 1Ko 1:​24, 30; 2:13; Efe 1:17; Kol 2:​2, 3

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mez 8:​1-3, 22-31—Hekima inazungumuziwa sawa mwanadamu na inatambulishwa kuwa Mwana wa Mungu, muzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote

    • Mt 13:​51-54—Wasikilizaji wengi wa Yesu hawaelewe namna mutu mwenye alikomala kati yao aliweza kuwa na hekima mingi vile

Namna gani tunaweza kuonyesha kama tuko na hekima ya Mungu?

Namna gani hekima inatuongoza na kutulinda?

Hekima ya Mungu ni ya lazima kadiri gani?

Mez 3:​13, 14; 8:11

Ona pia Yob 28:18

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Yob 28:​12, 15-19—Hata kama anateseka sana, iko na maumivu na anapoteza watoto na vitu vyake, Yobu anasifu hekima ya Mungu

    • Zb 19:​7-9—Mufalme Daudi anasema kama sheria ya Yehova na vikumbusho vyake vinaweza kupatia hekima hata kwa wale wenye hawana uzoefu

Juu ya nini kusikiliza hekima ya wanadamu wenye kukatala Mungu kunaweza kutuletea magumu?