Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo


Je, umefurahia mambo uliyojifunza?

Je, umefurahia mambo uliyojifunza?

Je, ungependa kujifunza habari zaidi katika Biblia?

Hiki ni kionjo tu cha mambo yaliyo katika kitabu Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia.

Kitabu hicho hakiuzwi na masomo hayo yanafanywa bila malipo. Tutafurahia kujifunza pamoja nawe wakati na mahali panapokufaa.

Kupitia masomo hayo ya Biblia, utajifunza habari nyingi kutia ndani:

  • Kusudi la uhai

  • Jinsi ya kupata amani ya kweli

  • Jinsi familia zinavyoweza kuwa na furaha

  • Mambo ambayo Biblia inaahidi kuhusu wakati ujao

Ili upate kitabu hiki na uendelee na masomo ya Biblia, tafadhali wasiliana na Mashahidi wa Yehova au ujaze ombi kwenye jw.org/sw ili upate funzo la Biblia.