Je, unaweza kufurahia maisha milele?
Ungejibuje?
ndiyo
hapana
labda
BIBLIA INASEMA NINI?
“Waadilifu wataimiliki dunia, nao wataishi humo milele.”—ZABURI 37:29.
HILO LINAWEZAJE KUBORESHA MAISHA YAKO?
Unaweza kuwa na wakati ujao wenye furaha na amani ukiwa pamoja na familia na rafiki zako.—YEREMIA 29:11.
Unaweza kufurahia maisha si kwa muda mfupi tu, bali milele.—ZABURI 22:26.
JE, KWELI TUNAWEZA KUAMINI AHADI ZA BIBLIA?
Ndiyo! Ili kujua sababu chunguza uthibitisho ulio katika sura tatu za broshua hii. Zina vichwa vifuatavyo: