Inawezekana kabisa kufurahia maisha milele?
Unawaza jibu ni . . .
ndiyo?
hapana?
pengine?
BIBLIA INASEMA HIVI:
“Wenye haki watariti dunia, na wataishi milele juu yake.”—ZABURI 37:29.
BARAKA YENYE UTAPATA WAKATI ILE MANENO ITATIMIA
Weye, watu wa familia yako, na marafiki wako mutakuwa na furaha na amani.—YEREMIA 29:11.
Hautaishi miaka kidogo tu, lakini utaishi milele.—ZABURI 22:26.
TUNAWEZA KABISA KUAMINI MAMBO YENYE BIBLIA INASEMA?
Ndiyo! Juu ya nini? Juu ujue sababu, tunakuomba ujifunze somo tatu za hii broshua. Ziko na hizi tungo: