Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 157

Tutaishi kwa Amani!

Tutaishi kwa Amani!

(Zaburi 29:11)

  1. 1. Watu wa Yehova

    Mu hii dunia

    Wanaishi kwa amani.

    Tunaamini,

    Magumu ya leo

    Itaisha

    karibuni.

    (REFREE)

    Mu dunia yote,

    Tutaishi kwa

    Amani milele.

    Mu mabonde yote

    Na ku milima,

    Kote kutakuwa

    Amani.

  2. 2. Dunia na mbingu

    Vitakuwa

    Mu umoja wa ajabu.

    Dunia mupya,

    Mutakuwa haki,

    Na upendo na amani.

    (REFREE)

    Mu dunia yote,

    Tutaishi kwa

    Amani milele.

    Mu mabonde yote

    Na ku milima,

    Kote kutakuwa

    Amani.

    (REFREE)

    Mu dunia yote,

    Tutaishi kwa

    Amani milele.

    Mu mabonde yote

    Na ku milima,

    Kote kutakuwa

    (REFREE)

    Mu dunia yote,

    Tutaishi kwa

    Amani milele.

    Mu mabonde yote

    Na ku milima,

    Kote kutakuwa

    Amani,

    Amani!