Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2002

Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2002

Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2002

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Henry wa Nane na Biblia, 1/1

Jitihada za Kuitafsiri Katika Kigiriki cha Kisasa, 11/15

Tafsiri ya Septuagint, 9/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Hisia-Mwenzi, 4/15

Itieni Mikono Yenu Nguvu, 12/1

Je, Unafundisha kwa Matokeo? 7/1

Kuishi Maisha Yanayompendeza Yehova, 11/15

Kukusanyika Pamoja, 11/15

‘Kulihubiri Neno’ Huleta Burudisho, 1/15

Kuomba Msamaha, 11/1

Kupongezwa, 11/1

Kutembea Katika Njia za Yehova, 7/1

Kuwalea Watoto Katika Nchi ya Kigeni, 10/15

“Lichungeni Kundi la Mungu,” 11/15

Mahali pa Kujificha na Upepo, 2/15

Mungu Hukubali Watu wa Mataifa Yote, 4/1

Panda kwa Uadilifu, Vuna Fadhili-Upendo (Mit 11), 7/15

‘Sameheaneni kwa Hiari,’ 9/1

Shauku Katika Familia, 12/15

Siri, 6/15

Tuyaoneje Majaribu? 9/1

Uaminifu-Maadili, 8/15

Upweke, 3/15

Usafi, 2/1

“Uwe Ukijizoeza Mwenyewe,” 10/1

Uwezo wa Kufikiri, 8/15

Wanyoofu Huongozwa na Uaminifu-Maadili (Mit 11), 5/15

Wazee—Wazoezeni Wengine, 1/1

Wivu, 10/15

“Wokovu Una BWANA” (sherehe za kizalendo), 9/15

Yehova Hubariki Jitihada Yenye Bidii Wakati Gani? 8/1

MAKALA KUU ZA MAFUNZO

“Bila Kielezi Hakuwa Akisema Nao,” 9/1

“Dumisheni Mwenendo Wenu Ukiwa Bora Miongoni mwa Mataifa,” 11/1

Elekeza Hatua Zako kwa Kufuata Kanuni za Mungu, 4/15

Endelea Kumtumikia Yehova kwa Moyo Thabiti, 4/1

Endelea Kuonyesha Sifa ya Wema, 1/15

Endeleeni Kutumikia Bega kwa Bega, 11/15

Fuata Kielelezo cha Wafalme, 6/15

Funzo La Kibinafsi Ambalo Hutuandaa Tuwe Walimu Bora, 12/1

Furahia Kujifunza Kibinafsi Neno la Mungu, 12/1

“Hajasema Kamwe Mtu Mwingine Kama Hivi,” 9/1

Je, U Miongoni mwa Watu Wanaopendwa na Mungu? 2/1

Je, Umepokea “Roho ya Ile Kweli”? 2/1

Je, Uongozi wa Kristo Ni Halisi Kwako? 3/15

Jifunze na Uwafundishe Wengine Maadili ya Kikristo, 6/15

“Kazia Uangalifu Zaidi Kuliko Ilivyo Kawaida,” 9/15

Kristo Analiongoza Kutaniko Lake, 3/15

Kufaidika na Fadhili-Upendo za Yehova, 5/15

Kukabiliana na “Mwiba Katika Mwili,” 2/15

Kutimiza Matakwa ya Mungu Humtukuza Yehova, 5/1

Kwa Nini Ubatizwe? 4/1

Kweli Ni Yenye Thamani Kadiri Gani Kwako? 3/1

Manufaa za Habari Njema, 1/1

“Mkaribieni Mungu,” 12/15

“Mpingeni Ibilisi,” 10/15

Mwige Mwalimu Mkuu, 9/1

“Naye Atawakaribia,” 12/15

Ni Nani Atakayeokoka Siku ya Yehova? 5/1

‘Nifuateni kwa Kuendelea,’ 8/15

“Niliweka Kiolezo kwa Ajili Yenu,” 8/15

Nuru Kutoka kwa Mungu Huondoa Giza! 3/1

Ongezeni Kwenye Uvumilivu Wenu Ujitoaji-Kimungu, 7/15

Pendezwa na Uadilifu wa Yehova, 6/1

Sheria za Mungu Hutufaidi, 4/15

Sitawisha Utii Mwisho Unapokaribia, 10/1

Tii kwa Uaminifu Mamlaka ya Kimungu, 8/1

Tumeandaliwa Kikamili Kuwa Walimu wa Neno la Mungu, 2/15

Tunachochewa na “Mambo Yenye Fahari ya Mungu,” 8/1

Utukufu wa Yehova Unaangazia Watu Wake, 7/1

Wakristo Huabudu kwa Roho na Kweli, 7/15

Wakristo Wanahitajiana, 11/15

Wakristo Wanaodumisha Msimamo wa Kutokuwamo Katika Siku za Mwisho, 11/1

Wakristo Wote wa Kweli Ni Waeneza-Evanjeli, 1/1

Walikabiliana na Miiba Katika Miili Yao, 2/15

Wanaendelea Kutembea Katika Kweli, 7/15

Waonyeshe Fadhili-Upendo Wenye Uhitaji, 5/15

Watu Waliosafishwa kwa Ajili ya Kazi Zilizo Bora, 6/1

Yehova Anakujali, 10/15

Yehova Awaremba Watu Wake kwa Kuwapa Nuru, 7/1

Yehova Huchukia Mwenendo wa Hila, 5/1

Yehova Huwabariki na Kuwalinda Wale Wanaomtii, 10/1

Yehova Ni Mfano Bora Sana wa Wema, 1/15

Zoeeni Kufanya Mambo Ambayo Mmejifunza, 9/15

MAMBO MENGINE

Epuka Kudanganywa, 7/1

Faraja Katika Ulimwengu Wenye Msukosuko, 10/1

Historia ya Waroma Inatufunza Somo Fulani (michezo ya kupigana), 6/15

“Huenda Matibabu Haya Yakawa Yenye Uchungu,” 3/1

Je, Imani Inapatana na Kufikiri? 4/1

Je, Shetani Ni Hadithi Tu au Ni Mtu Halisi Mwovu? 10/15

Je, Tunahitaji Majengo ya Ibada? 11/15

Je, Uwe Mtu Asiyejali Sana Mambo? 10/1

Je, Watu Wote Watapata Kuwa na Usawa? 1/1

Jiji Lililojengwa Juu ya Mlima, 2/1

Kanisa na Serikali Huko Byzantium, 2/15

Kanuni za Kimungu Zaweza Kufaidi, 2/15

Kifo, 6/1

Kitu Chenye Thamani Zaidi Kuliko Hazina za Misri (Musa), 6/15

Kuhifadhi Maiti kwa Kuipaka Dawa, 3/15

Madhabahu kwa Mungu Asiyejulikana, 7/15

Majirani, 9/1

“Mamajusi Watatu,” 12/15

Mapokeo Kuhusu Kifo, 6/1

Matatizo ya Wanadamu, 6/15

Moto wa Mateso, 7/15

Mti Unaotoa “Machozi,” 1/15

Mtumaini Mungu Aliye Halisi, 1/15

“Mwanamke Mwema” (Ruthu), 6/15

Ndugu Waliositawisha Mitazamo Tofauti (Kaini na Abeli), 1/15

Nikodemo, 2/1

“Ni Nini Hutambulisha Haki ya Yehova?” 3/1

Sanamu za Kuchorwa, 7/1

Shafani na Familia Yake, 12/15

Shughuli za Dini—Zigharimiweje? 12/1

Somo Kutoka kwa Korongo, 8/1

Tertullian, 5/15

Ubatizo wa Clovis, 3/1

Ujilaumu Mwenyewe au Chembe Zako za Urithi? 6/1

Ulemavu Utakoma, 5/1

Ulimwengu wa Kale Uliharibiwa (Furiko), 3/1

Uongozi Bora, 3/15

Usalama Wako Unategemea Nini? 4/15

Ushirikina, 8/1

Uwe Mwaminifu kwa Nani? 8/15

“Watakatifu,” 9/15

Wawaldo, 3/15

Yoga, 8/1

Yoshua, 12/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

‘Fanyeni Lililo Jema Kuelekea Wote,’ 7/15

Jinsi Mwana Alivyomsaidia Baba Yake, 5/1

Jitihada Zinazoendeleza Viwango Vizuri vya Maadili (Msumbiji), 11/15

Jumba la Ufalme Lapata Tuzo (Finland), 10/1

Kazi Bora Humtukuza Mungu (Italia), 1/15

Kuhitimu kwa Wanafunzi wa Gileadi, 6/15, 12/15

Kujifunza Kusoma (Visiwa vya Solomon), 8/15

Kuwa na Dhamiri Safi Kwahusisha Nini? 2/15

“Kwa Nini Ninarudisha Pesa Zenu?” 8/15

Kwenye Meza ya Nahodha (R. G. Smith), 12/1

Makasisi Waliothamini Vitabu vya Russell, 4/15

Makusanyiko ya Kimataifa Katika Mwaka wa 2003, 7/1

Makusanyiko ya “Walimu wa Neno la Mungu,” 1/15

Mikutano, 3/15

Milima ya Filipino, 4/15

Mkutano wa Kila Mwaka wa 2001, 4/1

Nchi za Balkan (New World Translation), 10/15

Upanuzi Wahitajiwa kwa Sababu ya Ongezeko (Majumba ya Ufalme), 5/15

‘Upendo Wetu Uliongezeka’ (volkeno Japan), 3/1

Vijana Wanaoipenda Kweli, 10/1

Vijana Wenye Kuburudisha, 9/15

Wafia-Imani wa Siku Hizi (Sweden), 2/1

Wana Hekima Pia (michango ya watoto), 2/1

Watu Waliounga Mkono Ibada ya Kweli (michango), 11/1

Wote Wanakaribishwa Kwenye Majumba ya Ufalme, 11/1

MASIMULIZI YA MAISHA

Kusitawisha Upendo wa Yehova Katika Mioyo ya Watoto Wetu (W. Matzen), 5/1

Kutumikia kwa Roho ya Kujidhabihu (D. Rendell), 3/1

Naimarishwa na Udugu wa Ulimwenguni Pote (T. Kangale), 7/1

Nimethawabishwa kwa Ujitoaji-Kimungu (W. Aihinoria), 6/1

Nimezeeka na Kushiba Siku (M. Smith), 8/1

Pendeleo la Kushiriki Upanuzi Baada ya Vita (F. Hoffmann), 10/1

“Siwezi Kubadili Kitu Ng’o!” (G. Allen), 9/1

Tulibaki Mahali Tulipotumwa (H. Bruder), 11/1

Tulikotumwa Kuwa Mishonari Kumekuwa Nyumbani (D. Waldron), 12/1

Yehova Alinipa “Nguvu Ipitayo Iliyo ya Kawaida” (H. Marks), 1/1

Yehova Alitufundisha Kuwa Wavumilivu (A. Apostolidis), 2/1

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

Idadi ya watoto wa Yese (1 Sam 16:10, 11; 1 Nyak 2:13-15), 9/15

Je, inafaa kununua jengo la kidini na kulirekebisha kuwa Jumba la Ufalme? 10/15

Je, Abeli alijua kwamba dhabihu ya mnyama ilihitajika? 8/1

Je, hali ya kutokamilika ya Maria ilimwathiri Yesu? 3/15

Je, inafaa kuhudhuria ibada ya mazishi au arusi kanisani? 5/15

Je, nadhiri zinazowekwa kwa Mungu zinaweza kuvunjwa? 11/15

Je, ni vibaya kucheza kamari kwa kutumia pesa kidogo? 11/1

Je, watu watakaopotoshwa katika jaribu la mwisho watakuwa wengi? (Ufu 20:8), 12/1

Je, watu wenye tatizo kubwa la afya wabatizwe? 6/1

Kulea watoto katika familia iliyogawanyika kidini, 8/15

Kusali bila kusema “katika jina la Yesu,” 4/15

Lusifero (Isa 14:12, ZSB), 9/15

Maana ya usemi “kukinza hadi damu” (Ebr 12:4), 2/15

Mazishi ya mtu aliyejiua? 6/15

Ndoa kati ya watu wa jamaa, 2/1

Ua ambapo “umati mkubwa” hutumikia (Ufu 7:15), 5/1

Wanawake Wakristo wanapaswa kujifunga kitambaa kichwani wakati gani? 7/15

RIPOTI YA WATANGAZAJI WA UFALME

2/1, 4/1, 6/1, 8/1, 10/1, 11/1

YEHOVA

Mtumaini Yehova, Aliye Halisi, 1/15

Mungu Ni Nani? 5/15

Tetragramatoni Katika Tafsiri ya Septuagint, 6/1

YESU KRISTO

Kuzaliwa kwa Yesu, 12/15