Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2002
Faharisi ya Habari za Mnara Wa Mlinzi 2002
Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana
BIBLIA
Henry wa Nane na Biblia, 1/1
Jitihada za Kuitafsiri Katika Kigiriki cha Kisasa, 11/15
Tafsiri ya Septuagint, 9/15
MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO
Hisia-Mwenzi, 4/15
Itieni Mikono Yenu Nguvu, 12/1
Je, Unafundisha kwa Matokeo? 7/1
Kuishi Maisha Yanayompendeza Yehova, 11/15
Kukusanyika Pamoja, 11/15
‘Kulihubiri Neno’ Huleta Burudisho, 1/15
Kuomba Msamaha, 11/1
Kupongezwa, 11/1
Kutembea Katika Njia za Yehova, 7/1
Kuwalea Watoto Katika Nchi ya Kigeni, 10/15
“Lichungeni Kundi la Mungu,” 11/15
Mahali pa Kujificha na Upepo, 2/15
Mungu Hukubali Watu wa Mataifa Yote, 4/1
Panda kwa Uadilifu, Vuna Fadhili-Upendo (Mit 11), 7/15
‘Sameheaneni kwa Hiari,’ 9/1
Shauku Katika Familia, 12/15
Siri, 6/15
Tuyaoneje Majaribu? 9/1
Uaminifu-Maadili, 8/15
Upweke, 3/15
Usafi, 2/1
“Uwe Ukijizoeza Mwenyewe,” 10/1
Uwezo wa Kufikiri, 8/15
Wanyoofu Huongozwa na Uaminifu-Maadili (Mit 11), 5/15
Wazee—Wazoezeni Wengine, 1/1
Wivu, 10/15
“Wokovu Una BWANA” (sherehe za kizalendo), 9/15
Yehova Hubariki Jitihada Yenye Bidii Wakati Gani? 8/1
MAKALA KUU ZA MAFUNZO
“Bila Kielezi Hakuwa Akisema Nao,” 9/1
“Dumisheni Mwenendo Wenu Ukiwa Bora Miongoni mwa Mataifa,” 11/1
Elekeza Hatua Zako kwa Kufuata Kanuni za Mungu, 4/15
Endelea Kumtumikia Yehova kwa Moyo Thabiti, 4/1
Endelea Kuonyesha Sifa ya Wema, 1/15
Endeleeni Kutumikia Bega kwa Bega, 11/15
Fuata Kielelezo cha Wafalme, 6/15
Funzo La Kibinafsi Ambalo Hutuandaa Tuwe Walimu Bora, 12/1
Furahia Kujifunza Kibinafsi Neno la Mungu, 12/1
“Hajasema Kamwe Mtu Mwingine Kama Hivi,” 9/1
Je, U Miongoni mwa Watu Wanaopendwa na Mungu? 2/1
Je, Umepokea “Roho ya Ile Kweli”? 2/1
Je, Uongozi wa Kristo Ni Halisi Kwako? 3/15
Jifunze na Uwafundishe Wengine Maadili ya Kikristo, 6/15
“Kazia Uangalifu Zaidi Kuliko Ilivyo Kawaida,” 9/15
Kristo Analiongoza Kutaniko Lake, 3/15
Kufaidika na Fadhili-Upendo za Yehova, 5/15
Kukabiliana na “Mwiba Katika Mwili,” 2/15
Kutimiza Matakwa ya Mungu Humtukuza Yehova, 5/1
Kwa Nini Ubatizwe? 4/1
Kweli Ni Yenye Thamani Kadiri Gani Kwako? 3/1
Manufaa za Habari Njema, 1/1
“Mkaribieni Mungu,” 12/15
“Mpingeni Ibilisi,” 10/15
Mwige Mwalimu Mkuu, 9/1
“Naye Atawakaribia,” 12/15
Ni Nani Atakayeokoka Siku ya Yehova? 5/1
‘Nifuateni kwa Kuendelea,’ 8/15
“Niliweka Kiolezo kwa Ajili Yenu,” 8/15
Nuru Kutoka kwa Mungu Huondoa Giza! 3/1
Ongezeni Kwenye Uvumilivu Wenu Ujitoaji-Kimungu, 7/15
Pendezwa na Uadilifu wa Yehova, 6/1
Sheria za Mungu Hutufaidi, 4/15
Sitawisha Utii Mwisho Unapokaribia, 10/1
Tii kwa Uaminifu Mamlaka ya Kimungu, 8/1
Tumeandaliwa Kikamili Kuwa Walimu wa Neno la Mungu, 2/15
Tunachochewa na “Mambo Yenye Fahari ya Mungu,” 8/1
Utukufu wa Yehova Unaangazia Watu Wake, 7/1
Wakristo Huabudu kwa Roho na Kweli, 7/15
Wakristo Wanahitajiana, 11/15
Wakristo Wanaodumisha Msimamo wa Kutokuwamo Katika Siku za Mwisho, 11/1
Wakristo Wote wa Kweli Ni Waeneza-Evanjeli, 1/1
Walikabiliana na Miiba Katika Miili Yao, 2/15
Wanaendelea Kutembea Katika Kweli, 7/15
Waonyeshe Fadhili-Upendo Wenye Uhitaji, 5/15
Watu Waliosafishwa kwa Ajili ya Kazi Zilizo Bora, 6/1
Yehova Anakujali, 10/15
Yehova Awaremba Watu Wake kwa Kuwapa Nuru, 7/1
Yehova Huchukia Mwenendo wa Hila, 5/1
Yehova Huwabariki na Kuwalinda Wale Wanaomtii, 10/1
Yehova Ni Mfano Bora Sana wa Wema, 1/15
Zoeeni Kufanya Mambo Ambayo Mmejifunza, 9/15
MAMBO MENGINE
Epuka Kudanganywa, 7/1
Faraja Katika Ulimwengu Wenye Msukosuko, 10/1
Historia ya Waroma Inatufunza Somo Fulani (michezo ya kupigana), 6/15
“Huenda Matibabu Haya Yakawa Yenye Uchungu,” 3/1
Je, Imani Inapatana na Kufikiri? 4/1
Je, Shetani Ni Hadithi Tu au Ni Mtu Halisi Mwovu? 10/15
Je, Tunahitaji Majengo ya Ibada? 11/15
Je, Uwe Mtu Asiyejali Sana Mambo? 10/1
Je, Watu Wote Watapata Kuwa na Usawa? 1/1
Jiji Lililojengwa Juu ya Mlima, 2/1
Kanisa na Serikali Huko Byzantium, 2/15
Kanuni za Kimungu Zaweza Kufaidi, 2/15
Kifo, 6/1
Kitu Chenye Thamani Zaidi Kuliko Hazina za Misri (Musa), 6/15
Kuhifadhi Maiti kwa Kuipaka Dawa, 3/15
Madhabahu kwa Mungu Asiyejulikana, 7/15
Majirani, 9/1
“Mamajusi Watatu,” 12/15
Mapokeo Kuhusu Kifo, 6/1
Matatizo ya Wanadamu, 6/15
Moto wa Mateso, 7/15
Mti Unaotoa “Machozi,” 1/15
Mtumaini Mungu Aliye Halisi, 1/15
“Mwanamke Mwema” (Ruthu), 6/15
Ndugu Waliositawisha Mitazamo Tofauti (Kaini na Abeli), 1/15
Nikodemo, 2/1
“Ni Nini Hutambulisha Haki ya Yehova?” 3/1
Sanamu za Kuchorwa, 7/1
Shafani na Familia Yake, 12/15
Shughuli za Dini—Zigharimiweje? 12/1
Somo Kutoka kwa Korongo, 8/1
Tertullian, 5/15
Ubatizo wa Clovis, 3/1
Ujilaumu Mwenyewe au Chembe Zako za Urithi? 6/1
Ulemavu Utakoma, 5/1
Ulimwengu wa Kale Uliharibiwa (Furiko), 3/1
Uongozi Bora, 3/15
Usalama Wako Unategemea Nini? 4/15
Ushirikina, 8/1
Uwe Mwaminifu kwa Nani? 8/15
“Watakatifu,” 9/15
Wawaldo, 3/15
Yoga, 8/1
Yoshua, 12/1
MASHAHIDI WA YEHOVA
‘Fanyeni Lililo Jema Kuelekea Wote,’ 7/15
Jinsi Mwana Alivyomsaidia Baba Yake, 5/1
Jitihada Zinazoendeleza Viwango Vizuri vya Maadili (Msumbiji), 11/15
Jumba la Ufalme Lapata Tuzo (Finland), 10/1
Kazi Bora Humtukuza Mungu (Italia), 1/15
Kuhitimu kwa Wanafunzi wa Gileadi, 6/15, 12/15
Kujifunza Kusoma (Visiwa vya Solomon), 8/15
Kuwa na Dhamiri Safi Kwahusisha Nini? 2/15
“Kwa Nini Ninarudisha Pesa Zenu?” 8/15
Kwenye Meza ya Nahodha (R. G. Smith), 12/1
Makasisi Waliothamini Vitabu vya Russell, 4/15
Makusanyiko ya Kimataifa Katika Mwaka wa 2003, 7/1
Makusanyiko ya “Walimu wa Neno la Mungu,” 1/15
Mikutano, 3/15
Milima ya Filipino, 4/15
Mkutano wa Kila Mwaka wa 2001, 4/1
Nchi za Balkan (New World Translation), 10/15
Upanuzi Wahitajiwa kwa Sababu ya Ongezeko (Majumba ya Ufalme), 5/15
‘Upendo Wetu Uliongezeka’ (volkeno Japan), 3/1
Vijana Wanaoipenda Kweli, 10/1
Vijana Wenye Kuburudisha, 9/15
Wafia-Imani wa Siku Hizi (Sweden), 2/1
Wana Hekima Pia (michango ya watoto), 2/1
Watu Waliounga Mkono Ibada ya Kweli (michango), 11/1
Wote Wanakaribishwa Kwenye Majumba ya Ufalme, 11/1
MASIMULIZI YA MAISHA
Kusitawisha Upendo wa Yehova Katika Mioyo ya Watoto Wetu (W. Matzen), 5/1
Kutumikia kwa Roho ya Kujidhabihu (D. Rendell), 3/1
Naimarishwa na Udugu wa Ulimwenguni Pote (T. Kangale), 7/1
Nimethawabishwa kwa Ujitoaji-Kimungu (W. Aihinoria), 6/1
Nimezeeka na Kushiba Siku (M. Smith), 8/1
Pendeleo la Kushiriki Upanuzi Baada ya Vita (F. Hoffmann), 10/1
“Siwezi Kubadili Kitu Ng’o!” (G. Allen), 9/1
Tulibaki Mahali Tulipotumwa (H. Bruder), 11/1
Tulikotumwa Kuwa Mishonari Kumekuwa Nyumbani (D. Waldron), 12/1
Yehova Alinipa “Nguvu Ipitayo Iliyo ya Kawaida” (H. Marks), 1/1
Yehova Alitufundisha Kuwa Wavumilivu (A. Apostolidis), 2/1
MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI
Idadi ya watoto wa Yese (1 Sam 16:10, 11; 1 Nyak 2:13-15), 9/15
Je, inafaa kununua jengo la kidini na kulirekebisha kuwa Jumba la Ufalme? 10/15
Je, Abeli alijua kwamba dhabihu ya mnyama ilihitajika? 8/1
Je, hali ya kutokamilika ya Maria ilimwathiri Yesu? 3/15
Je, inafaa kuhudhuria ibada ya mazishi au arusi kanisani? 5/15
Je, nadhiri zinazowekwa kwa Mungu zinaweza kuvunjwa? 11/15
Je, ni vibaya kucheza kamari kwa kutumia pesa kidogo? 11/1
Je, watu watakaopotoshwa katika jaribu la mwisho watakuwa wengi? (Ufu 20:8), 12/1
Je, watu wenye tatizo kubwa la afya wabatizwe? 6/1
Kulea watoto katika familia iliyogawanyika kidini, 8/15
Kusali bila kusema “katika jina la Yesu,” 4/15
Lusifero (Isa 14:12, ZSB), 9/15
Maana ya usemi “kukinza hadi damu” (Ebr 12:4), 2/15
Mazishi ya mtu aliyejiua? 6/15
Ndoa kati ya watu wa jamaa, 2/1
Ua ambapo “umati mkubwa” hutumikia (Ufu 7:15), 5/1
Wanawake Wakristo wanapaswa kujifunga kitambaa kichwani wakati gani? 7/15
RIPOTI YA WATANGAZAJI WA UFALME
2/1, 4/1, 6/1, 8/1, 10/1, 11/1
YEHOVA
Mtumaini Yehova, Aliye Halisi, 1/15
Mungu Ni Nani? 5/15
Tetragramatoni Katika Tafsiri ya Septuagint, 6/1
YESU KRISTO
Kuzaliwa kwa Yesu, 12/15