Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Hasira ya Ndugu

Hasira ya Ndugu

Kwa Ajili ya Vijana Wetu

Hasira ya Ndugu

Maagizo: Fanya zoezi hili katika mazingira matulivu. Unaposoma maandiko, jiwazie ukiwa katika matukio yanayozungumziwa. Wazia kikao. Sikia sauti. Hisi kama wahusika wakuu wanavyohisi. Wazia kwamba masimulizi haya ni halisi kabisa.

CHUNGUZA TUKIO HILI.—SOMA MWANZO 4:1-12.

Kulingana na maoni yako, ungefafanua namna gani mwelekeo wa Kaini na alikuwa na sura gani? Namna gani Abeli?

․․․․․

Ni ‘matendo gani ya mwili’ yaliyoonyeshwa na Kaini, na yalionyeshwa jinsi gani? (Wagalatia 5:19-21)

․․․․․

CHIMBA ZAIDI.—SOMA MISTARI YA 4-7 TENA.

Je, ni dhabihu tu ambazo Yehova alikataa au kukubali, au je, kulikuwa na mengi zaidi yaliyohusika? (Methali 21:2)

․․․․․

Ni katika visa gani mtu anaweza kuwa na haki ya kukasirika, lakini kwa nini ilikuwa vibaya kabisa kwa Kaini ‘kuwaka hasira’?

․․․․․

Ni wakati gani ambapo wivu unaweza kufaa, lakini kwa nini haukufaa katika kisa cha Kaini? (1 Wafalme 19:10)

․․․․․

Kaini angechukua hatua gani ili ‘aishinde’ hasira yake?

․․․․․

TUMIA MAMBO ULIYOJIFUNZA. ANDIKA MAMBO ULIYOJIFUNZA KUHUSU . . .

Hasira.

․․․․․

Wivu.

․․․․․

Jinsi ya ‘kushinda’ mielekeo mibaya.

․․․․․

NI MAMBO GANI KATIKA SIMULIZI HILO LA BIBLIA AMBAYO YAMEKUGUSA MOYO SANA, NA KWA NINI?

․․․․․