Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2009

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2009

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2009

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Iko Hai Katika Lugha Iliyokufa, 4/1

Imedumu, 11/1

Inabadili Maisha, 2/1, 7/1, 8/1, 11/1

Inafaa, 6/1

Jinsi Unavyoweza Kuielewa, 7/1

Kodeksi ya Vatikani, 10/1

Kugundua Hazina (Kodeksi ya Efraemi Syri rescriptus), 9/1

Kwa Nini Sehemu Fulani Iliandikwa Katika Kigiriki? 4/1

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ufunuo—I, 1/15

Mambo Makuu Katika Kitabu cha Ufunuo—II, 2/15

Semi za Mfano, 5/1

Unahitaji Kujifunza Kiebrania na Kigiriki? 11/1

Waliipenda, 6/1

Yafika Kisiwa Kikubwa Chekundu (Madagaska), 12/15

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Dini Ni Chaguo Langu au la Wazazi Wangu? 9/15

Epuka Kukengeushwa, 8/15

Inafaa Dada Ajifunike Kichwa Anapotafsiri kwa Lugha ya Ishara? 11/15

Itai, 5/15

Kufunga, 4/1

Kumtumikia Mungu kwa Bidii na Shangwe, 12/15

Kupanga Matumizi ya Pesa, 8/1

Kushirikiana Kunachangia Maendeleo ya Kiroho, 7/15

Kutoa kwa Uchangamfu Kutoka Moyoni, 11/15

Kuvumilia Katika Huduma, 3/15

Kuwakabidhi Wengine Kazi, 6/15

Kuwatayarisha Vijana kwa Maisha ya Utu Uzima, 5/1

Kuwatia Watoto Nidhamu, 2/1

Maisha ya Familia, 11/1

Maria, 1/1

Mazishi, 2/15

Mruhusu Mungu Azungumze Nawe Kila Siku, 8/1

Mtu Anapokuudhi, 9/1

Mwenzi wa Ndoa Anapohitaji Kutunzwa kwa Njia ya Pekee, 11/1

“Njia Iliyo Bora Zaidi” ya Upendo, 7/15

Pokea kwa Shukrani, Toa kwa Moyo Wote, 7/15

Sala Ambazo Hazijibiwi, 1/1

Sala Ambazo Mungu Anasikiliza, 2/1

Shangwe Katika Useja, 6/15

Umewahi Kutumikia? 8/15

Unapaswa Kushikilia Mapendezi Yako? 2/15

Ninapaswa Kutoa Kiasi Gani cha Pesa? 8/1

Unapopaswa Kuwa Mwisho Unapokuja, 5/15

Usimsahau Yehova, 3/15

“Wakati wa Kukaa Kimya,” 5/15

Waume, Igeni Upendo wa Kristo, 5/15

MAKALA ZA FUNZO

Acha Maneno ya Yesu Yafinyange Mtazamo Wako, 2/15

Ayubu Alilitukuza Jina la Yehova, 4/15

Boresha Sala Zako Kupitia Funzo la Biblia, 11/15

Dumisha Shangwe Katika Nyakati za Taabu, 12/15

Endelea Kukua Katika Upendo wa Kindugu, 11/15

Endelea Kuwa na Mtazamo wa Akili wa Kristo Ndani Yako, 9/15

Familia za Kikristo—Fuateni Mfano wa Yesu! 7/15

Fanya Maendeleo Yako Yawe Wazi, 12/15

Hekima ya Yehova Inaonekana Katika Uumbaji, 4/15

“Iweni Wenye Kufanya Amani na Watu Wote,” 10/15

“Jitunzeni Katika Upendo wa Mungu,” 8/15

Jinsi Maneno ya Yesu Yanavyoleta Furaha, 2/15

‘Kesheni,’ 3/15

Kaza Macho Yako Kwenye Zawadi, 3/15

Kudumisha Urafiki Katika Ulimwengu Usio na Upendo, 10/15

Kuonyesha Adabu Tukiwa Wahudumu wa Mungu, 11/15

Kupata Hazina Ambazo “Zimefichwa kwa Uangalifu Ndani Yake,” 7/15

Kutambua Daraka la Musa Mkuu Zaidi, 4/15

Kutambua Daraka la Yesu Akiwa Daudi Mkuu Zaidi na Sulemani Mkuu Zaidi, 4/15

Kwa Nini Tumfuate “Kristo”? 5/15

Malaika—“Roho kwa Ajili ya Utumishi wa Watu Wote,” 5/15

Masihi! Njia ya Mungu ya Wokovu, 12/15

Msimamizi-Nyumba Mwaminifu na Baraza Lake Linaloongoza, 6/15

Mtumishi wa Yehova—‘Alichomwa kwa Silaha kwa Ajili ya Ukosaji Wetu,’ 1/15

Mwige Yesu—Fundisha kwa Upendo, 7/15

Mwige Yesu—Hubiri kwa Ujasiri, 7/15

‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu,’ 1/15

“Ninyi Ni Rafiki Zangu,” 10/15

Pata Shangwe Katika Kazi ya Kufanya Wanafunzi, 1/15

Sala Zako Zinafunua Nini Kukuhusu? 11/15

Sema Kweli na Jirani Yako, 6/15

Sitawisha Upendo Ambao Haushindwi Kamwe, 12/15

Songa Mbele Kuelekea Ukomavu—“Ile Siku Kuu ya Yehova Iko Karibu,” 5/15

Tazama! Mtumishi wa Yehova Aliyekubaliwa, 1/15

Thamani Bora Zaidi ya Elimu ya Kimungu, 9/15

Thamini Sana Mahali Pako Katika Kutaniko, 11/15

Unasali Kupatana na Maneno ya Yesu? 2/15

Unathamini Yale Ambayo Yehova Amefanya Ili Kukukomboa? 9/15

Upendo wa Kristo Unatuchochea Kupenda, 9/15

Utimilifu Wako Unafanya Moyo wa Yehova Ushangilie, 4/15

Uwe Mtiifu na Mwenye Ujasiri Kama Kristo Alivyokuwa, 9/15

Uwe na “Bidii kwa Ajili ya Kazi Njema”! 6/15

Uwe na Bidii kwa Ajili ya Nyumba ya Yehova! 6/15

Uzima wa Milele Duniani—Je, Ni Tumaini la Kikristo? 8/15

Uzima wa Milele Duniani—Tumaini Ambalo Tumepewa na Mungu, 8/15

Uzima wa Milele Duniani—Tumaini Lililofunuliwa Tena, 8/15

Vijana—Fanyeni Maendeleo Yenu Yawe Wazi, 5/15

Waadilifu Watamsifu Mungu Milele, 3/15

‘Wanaendelea Kumfuata Mwana-Kondoo,’ 2/15

“Wakeni Roho,” 10/15

Wewe Ni ‘Msimamizi-Nyumba wa Fadhili Zisizostahiliwa za Mungu’? 1/15

Yehova Anastahili Kusifiwa kwa Umoja, 3/15

MAMBO MENGINE

Adamu na Hawa Walikuwa Watu Halisi? 9/1

Alijifunza Kutokana na Makosa Yake (Yona), 1/1

Alijifunza Kuwa Mwenye Rehema (Yona), 4/1

Alishinda Woga na Shaka (Petro), 10/1

Alitenda kwa Busara (Abigaili), 7/1

Amani Katika Ulimwengu Wenye Misukosuko, 7/1

“Amina,” 6/1

Dini Zote Zinaelekeza Watu kwa Mungu? 6/1

Hadithi Sita za Uwongo Kuhusu Ukristo, 11/1

Ibada ya Baali na Karamu za Ngono, 11/1

Ibada ya Familia, 10/15

Ibilisi Ni Halisi? 10/1

Imani Imara, 5/1

Imani Katika Ahadi za Mungu (Abrahamu), 7/1

Inawezekana Kuamini Kuna Muumba? 10/1

Jinsi Paradiso Ilivyopotea, 11/1

“Kapteni wa Hekalu,” 10/1

Kitabu “cha Yashari,” na “cha Vita vya Yehova,” 3/15

Korintho, 3/1

Kuchagua Dini Nzuri, 8/1

Kujilinda Kutokana na Pepo, 5/1

Kuzaliwa Mara ya Pili, 4/1

Kwa Nini Kuna Ubishi Mwingi Kuhusu Roho Takatifu? 10/1

Kwa Nini Mahubiri ya Paulo Huko Efeso Yalitokeza Mvurugo? 2/1

Maana ya Kutia Mafuta, 8/1

Mababa wa Kimitume, 7/1

Maisha Yetu Yameamuliwa Kimbele? 4/1

Majaliwa, 3/1

Majina Yana Maana, 2/1

Maponyo ya Kimuujiza, 5/1

Mauaji Darasani, 12/1

“Mfalme Herode,” 12/1

Mfalme Daudi na Muziki, 12/1

Mfereji wa Hezekia, 5/1

Miti Iliyochongoka Iliwekwa Kuzunguka Yerusalemu? 5/1

Mti “Ambao Majani Yake Hayanyauki,” 3/1

Mtoto Anayefia Katika Tumbo la Uzazi Atafufuliwa? 4/15

Muujiza Siku ya Pentekoste, 9/1

Mvua, 1/1

Mwana wa Dada ya Paulo, 6/1

Nzige Walikuwa Chakula cha Kawaida? (Mt 3:4), 10/1

Pilato Alikuwa na Sababu ya Kumwogopa Kaisari? 1/1

Rahabu, 8/1

Sanduku la Agano, 9/1

Shemu, 10/1

Sherehe ya Mwaka Mpya (Asia), 12/1

Shetani Alitupwa Kutoka Mbinguni Wakati Gani? 5/15

“Tutakula Nini?” 8/1

Tunalojifunza Kwenye Methali 24:27, 10/15

“Umetia Mizizi na Kuimarishwa Juu ya Ule Msingi,” 10/15

Ufufuo wa Lazaro, 3/1

Ujasiri wa Kijana Mmoja (Daudi), 1/1

Ukoma Unaotajwa Katika Biblia, 2/1

Ukristo Unaunga Mkono Vita? 10/1

Umetenga Wakati wa Kujifunza Biblia? 10/15

Unajimu Katika Israeli, 3/1

Unawaogopa Wafu? 1/1

Urimu na Thumimu, 6/1

Uvuvi Katika Bahari ya Galilaya, 10/1

Waandishi Waliompinga Yesu, 8/1

Wafugaji wa Nyuki Katika Israeli la Kale, 7/1

Wakati wa Kila Kitu, 3/1

Wameipata Safina ya Noa? 7/1

Wamishonari Wangesafiri Hadi Wapi Upande wa Mashariki? 1/1

“Wana wa Zeu” (Mdo 28:11), 3/1

Wanaume Wanaoitwa Yakobo, 9/1

Wayahudi ‘Walitenda kwa Kutojua’ (Mdo 3:17), 6/15

Yehoashi, 4/1

Yeremia, 12/1

Yosia, 2/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Betheli ya Brooklyn—Miaka 100, 5/1

Habari Njema Katika Lugha 500, 11/1

Hotuba ya Pekee, 4/1

Kiwanda cha Pekee cha Uchapishaji (Watchtower Farms, Marekani), 7/1

Kuhitimu Gileadi, 2/15, 9/1

Kupata Hazina Zilizofichwa (Estonia), 8/15

Kutafuta kwa Bidii (Ireland), 3/1

Kutumika Mahali Penye Uhitaji Mkubwa Zaidi, 4/15, 12/15

Kuwa na Furaha na Tumaini Licha ya Umaskini, 9/1

Kwa Nini Hawatumii Sanamu, 2/1

Makusanyiko ya “Endeleeni Kukesha!” 3/1

Mbegu Zafika Maeneo ya Mbali Zaidi (Jamhuri ya Tuva, Urusi), 7/15

Msichana Mdogo Mwenye Ukarimu, 11/15

Ni Dini ya Kiprotestanti? 11/1

Safari ya Kuchunguza Mambo ya Kale (Waamishi huko Marekani), 12/1

Safari ya Mbali Sana (Jamhuri ya Sakha), 6/1

Tufani ya Myanmar, 3/1

Unaalikwa kwa Uchangamfu (mikutanoni), 2/1

Unaweza Kuvuka na Kuingia Makedonia? 12/15

Wathamini Ndugu na Dada Viziwi, 11/15

‘Yehova Ameufanya Uso Wake Ung’ae Kuwaelekea’ (viziwi), 8/15

Ziwa Kubwa Zaidi Amerika ya Kati, 9/1

MASIMULIZI YA MAISHA

“Hii Ndiyo Njia. Tembeeni Ndani Yake” (E. Pederson limesimuliwa na R. Pappas), 1/15

Makusanyiko Matatu Yalibadili Maisha Yangu (G. Warienchuck), 10/15

‘Malaika wa Yehova Anapiga Kambi Pande Zote’ (C. Connell), 3/15

Miaka 90 Iliyopita Nilianza (E. Ridgwell), 7/15

Mwanadamu Hataishi kwa Mkate Tu (J. Hisiger), 3/1

Mwenye Furaha Nijapokuwa Mlemavu (P. Gaspar), 5/1

Nashukuru Licha ya Misiba (E. Acosta), 6/1

Nilipata Kusudi Maishani (G. Martínez), 9/15

Ninaweza Kumlipa Yehova Nini? (R. Danner), 6/15

YEHOVA

Anabadili Maoni Yake? 6/1

Anafikiria Kupungukiwa Kwetu, 6/1

Anafunua Sifa Zake, 5/1

Anajali, 6/1

Anakubali Ndoa ya Wake Wengi? 7/1

Anataka Tufanikiwe, 12/1

Anatuahidi Utajiri? 9/1

Anatupatia Uhuru wa Kuchagua, 11/1

Anawachukua Watoto Wawe Malaika? 3/1

Anawapenda Wapole, 8/1

Atakomesha Kuteseka! 12/1

Baba ya Wavulana Wasio na Baba, 4/1

Kufunga Ni Njia ya Kumkaribia? 4/1

Matatizo Ni Adhabu Kutoka Kwake? 6/1

Mtakatifu, 7/1

Mwamuzi Anayefanya Lililo Sawa Sikuzote, 1/1

Mwamuzi Anayehukumu kwa Haki, 9/1

Mwogope Mungu Si Mwanadamu, 3/1

‘Nayajua Vizuri Maumivu Yao’ (Kut 3:1-10), 3/1

Ni Mungu Tu Anayeweza Kuiokoa Dunia, 1/1

Ni Yesu? 2/1, 4/1

Unamjua Mungu? 2/1

Usimsahau Yehova, 3/15

Uthibitisho Mkubwa Zaidi wa Upendo, 2/1

Vatikani Yaondoa Jina la Mungu, 4/1

Yehova Anataka Nini Kutoka Kwetu? 10/1

Yesu Ni Kitu Kimoja Naye, 9/1

YESU KRISTO

Agizo la Kuhesabu Watu Ambalo Lilifanya Azaliwe Bethlehemu, 12/1

Ashinda Vishawishi, 5/1

Je, Kweli Wanaume Watatu Wenye Hekima Walimtembelea Yesu? 12/1

Kwa Nini Alimwita Yehova “Abba, Baba”? 4/1

Kwa Nini Aliosha Miguu ya Mitume? 1/1

Kwa Nini Vazi Lake la Ndani Lilivutia Sana? 7/1

Kwa Nini Yosefu Alifikiria Kumtaliki Maria? 12/1

Mafarisayo Walifanana na “Makaburi Yaliyopakwa Chokaa,” 11/1

Mafundisho Kuhusu “Mwisho,” 5/1

Mafundisho Kuhusu Maisha ya Familia, 11/1

Mafundisho Kuhusu Sala Ambazo Mungu Anasikiliza, 2/1

Mafundisho Kuhusu Wakati Ujao wa Wanadamu, 8/1

Ni Kitu Kimoja na Baba, 9/1

Ni Mungu? 2/1, 4/1