Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2010

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2010

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi 2010

Ikionyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

BIBLIA

Andiko la Ezekieli 18:20 Linapatanishwa na Kutoka 20:5, 3/15

Hatua Saba za Kufaidika na Usomaji, 7/1

Inabadili Maisha, 2/1, 5/1, 8/1, 11/1

Inatueleza Mambo Yote Kumhusu Yesu? 4/1

Kwa Nini Mathayo Alitaja Kwamba Maneno ya Zekaria Ni ya Yeremia? 12/1

Kwa Nini Uamini Vitabu vya Injili? 3/1

Mchapishaji wa Kale Aeneza, 7/1

Neno la Mungu Liliongozwa na Roho Yake? 3/1

Unabii Unasema Kuhusu Taifa la Israeli la Kisasa? 11/1

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

Alijifunza Kusamehe Kutoka kwa Bwana Wake (Petro), 4/1

Alikuwa Mshikamanifu Alipokabili Majaribu (Petro), 1/1

Dumisha “Usafi wa Moyo,” 3/15

‘Endelea Kufanya Bidii Katika Kufundisha,’ 7/15

“Haki ya Mtoto ya Kukua Kiroho,” 2/15

Je, Kweli Ni Udanganyifu? 6/1

Je, Unapaswa Kushika Sabato ya Kila Juma? 2/1

Kataa Kabisa Uwongo wa Shetani, 2/15

Kubatizwa Tena, 2/15

Kuendelea Kuwa na Kibali cha Mungu Hali Zinapobadilika, 3/15

Kuishi Katika Nyumba Moja na Wengine, 2/15

Kumsaidia Rafiki Mgonjwa, 7/1

Kumtunza Mshiriki wa Familia Aliye Mgonjwa, 5/15

Kupambana na Hisia Zisizofaa, 10/1

Kushughulika na Hali Mwenzi wa Ndoa Anapokusaliti, 6/15

Kutafuta Marafiki Washikamanifu, 7/1

Kuwa Mnyoofu Nyakati Zote, 3/1

Kuwafundisha Watoto Kutimiza Madaraka Yao, 5/1

Kuwajali Wazazi Wasio na Wenzi wa Ndoa, 12/1

Kwa Nini Unapaswa Kufika kwa Wakati? 8/15

“Mpaka Kifo Kitutenganishe,” 3/1

Mtoto Wako Atasema Nini? 12/15

Mtu Mwenye Unyenyekevu na Ujasiri (Yona), 1/1

‘Muwe Wakamilifu Kama Baba wa Mbinguni Alivyo,’ 11/15

Mwaka wa Kwanza wa Ndoa, 8/1

Njia za Kupata Uradhi, 11/1

Onyesho Usadikisho! (Yeremia), 5/1

Sala, 10/1

Sitawisha Ndani ya Watoto Tamaa ya Kupenda Kusoma na Kujifunza, 7/15

Somo Kuhusu Rehema ya Mungu (Yona), 3/1

Tumia Kila Siku kwa Utukufu wa Mungu, 1/15

Usikubali Kushinikizwa Kufuata Maoni ya Watu Wengi, 8/15

“Usiogope. Mimi Mwenyewe Nitakusaidia,” 7/15

Uwaheshimu Waliozeeka, 5/15

Uwe “Salama Salimini,” 4/15

Visingizio, 10/15

Wafariji Waliofiwa, 11/1

Wajane, 5/1

Wakwe, 2/1

Wasaidie Watoto Waelewe Tengenezo la Yehova, 10/15

Wasaidie Watoto Wako Wakabiliane na Matatizo, 1/15

Zoeza Nguvu za Ufahamu, 5/15

Zungumza na Watoto Wako Kuhusu Ngono, 11/1

MAKALA ZA FUNZO

Acha “Sheria ya Fadhili Zenye Upendo” Ilinde Ulimi Wako, 8/15

Akina Ndugu—Pandeni kwa Roho na Mjitahidi Kufikia Mapendeleo! 5/15

Endeleeni Kulijenga Kutaniko, 6/15

‘Endeleeni Kuushinda Uovu’ kwa Kuizuia Hasira, 6/15

Endeleeni Kuutafuta Kwanza “Uadilifu Wake,” 10/15

Je, Unamfuata Kristo kwa Ukamili? 4/15

Je, Unashiriki Katika Kufanya Mikutano ya Kikristo Iwe Yenye Kujenga? 10/15

Jinsi Fidia Inavyotuokoa, 8/15

Jinsi Yehova Anavyotumia Roho Takatifu Kutimiza Kusudi Lake, 4/15

Jinsi Yesu Anavyoutukuza Uadilifu wa Mungu, 8/15

Karibu Kwenye Njia Bora Zaidi ya Maisha! 2/15

“Kiongozi Wenu Ni Mmoja, Kristo,” 9/15

Kiongozi Wetu Anayetenda kwa Bidii Leo, 9/15

Kubatizwa Katika Jina la Nani na kwa Nini? 3/15

Kundi Moja, Mchungaji Mmoja, 3/15

Kuwa Mali ya Yehova Ni Fadhili Zisizostahiliwa, 1/15

Kwa Nini Ujiweke Wakfu kwa Yehova? 1/15

Maneno Yenye Neema Yanadumisha Mahusiano Mazuri, 6/15

Mwimbieni Yehova! 12/15

“Ni Nani Ameijua Akili ya Yehova?” 10/15

Ni Nani Anayeweza Kuwakomboa Wale Wanaolilia Msaada? 8/15

“Ninyi Mnapaswa Kuwa Watu wa Namna Gani!” 7/15

Onyesha Kwamba Wewe Ni Mfuasi wa Kweli wa Kristo, 1/15

Pata Baraka Kupitia Mfalme Anayeongozwa na Roho ya Mungu! 12/15

Pata Burudisho Katika Mambo ya Kiroho, 6/15

Pata Usalama Kati ya Watu wa Mungu, 6/15

‘Roho Huchunguza Ndani ya Mambo Mazito ya Mungu,’ 7/15

“Roho na Bibi-Arusi Huendelea Kusema: ‘Njoo!’” 2/15

“Sasa Ndio Wakati Unaokubalika Hasa,” 12/15

‘Sema Neno la Mungu kwa Ujasiri,’ 2/15

Shiriki Kikamili Katika Mavuno Makubwa ya Kiroho, 7/15

Tafuta Baraka za Yehova kwa Bidii, 9/15

Tembea kwa Roho na Uishi Kulingana na Wakfu Wako, 3/15

Tumia kwa Ustadi “Upanga wa Roho,” 2/15

Tutatembea Katika Utimilifu Wetu! 11/15

Umoja Unatambulisha Ibada ya Kweli, 9/15

Umoja wa Kikristo Unamletea Mungu Utukufu, 9/15

Usiihuzunishe Roho Takatifu ya Yehova, 5/15

Usiruhusu Macho Yako Yaone Mambo Yasiyofaa! 4/15

Utawala wa Shetani Utashindwa Kabisa, 1/15

Utawala wa Yehova Umethibitika Kuwa Bora! 1/15

Uwe Mwenye Bidii kwa Ajili ya Ibada ya Kweli, 12/15

Vijana—Imarisheni Tamaa Yenu ya Kumtumikia Yehova, 4/15

Vijana—Msikubali Kusongwa na Marafiki, 11/15

Vijana—Mtatumia Maisha Yenu Jinsi Gani? 11/15

Vijana—Mwongozwe na Neno la Mungu, 11/15

“Waadilifu Watang’aa kwa Uangavu Kama Jua,” 3/15

Wanaume—Je, Mnajitiisha Chini ya Ukichwa wa Kristo? 5/15

Wanawake—Kwa Nini Mjitiishe Chini ya Ukichwa? 5/15

Wewe Ni wa Kwanza Katika Kuwaheshimu Waamini Wenzako? 10/15

Yale Ambayo Siku ya Yehova Itafunua, 7/15

Yehova Ni Bwana Wetu Mwenye Enzi Kuu! 11/15

MAMBO MENGINE

“Alama za Mtumwa wa Yesu” (Ga 6:17), 11/1

Alimwagia Mungu Mahangaiko Yake Kupitia Sala (Hana), 7/1

Bamba la Kuandikia (Lu 1:63), 1/1

Barabara Aliyotumia Paulo (Via Appia), 1/1

Dhahabu ya Ofiri, 6/1

Dhambi, 6/1

Dini ya Calvin, 9/1

‘Divai Mpya, Viriba vya Divai Vilivyozeeka’ (Lu 5:37, 38), 3/1

Harani—Kituo cha Kale Chenye Utendaji Mwingi, 5/15

Haruni Hakuadhibiwa Alipotengeneza Ndama wa Dhahabu, 5/15

Ilikuwa Hatari Kusafiri Baharini Katika Siku za Paulo, 2/1

Je, Chungu Hutayarisha Chakula Wakati wa Kiangazi? 7/1

Je, Dunia Itakwisha? 1/1

Je, Kweli Watu Katika Nyakati za Biblia Waliishi Miaka Mingi? 12/1

Je, Majiji ya Makimbilio Yalikuwa Maficho ya Wahalifu? 11/1

Je, Nijiunge na Kikundi Fulani cha Dini? 11/1

Je, Sikuzote Dunia Itazaa Chakula cha Kutosha? 3/1

Je, Watu Wote Wazuri Wanaenda Mbinguni? 2/1

Jihadhari Usidanganywe, 9/1

Kaini Alipata Wapi Mke? 9/1

‘Kukua Akiwa na Yehova’ (Samweli), 10/1

Kusafiri Mbali Zaidi ya Mediterania, 3/1

Kusafiri Mpaka Sehemu ya Mbali Zaidi ya Dunia, 11/1

Kusema kwa Lugha, 10/1

Kuungama Dhambi, 9/1

Kwa Nini Watu Wanafanya Mambo Mabaya, 9/1

“Maandamano Yenye Shangwe” (2Ko 2:14-16), 8/1

“Mahali pa Juu,” 8/1

Maisha Yako Yanaongozwa na Nyota? 6/1

Malango ya Jiji, 6/1

Maoni ya Mungu Kuhusu Pombe, 1/1

Marko—‘Mwenye Faida kwa Ajili ya Huduma,’ 3/15

Masinagogi, 4/1

Mnyweshaji wa Mfalme, 7/1

Mwana Mzaliwa wa Kwanza, 5/1

Mwenye Ukoma Aponywa (Naamani), 11/1

Mwisho Umekaribia? 8/1

Ni Nani Wanaokaa Katika Makao ya Roho? 12/1

Nyama Iliyotolewa Dhabihu kwa Sanamu, 10/1

Nyumba Zao (Wakristo wa Karne ya Kwanza), 1/1

Paradiso Inayotajwa Katika Biblia Iko Wapi? 12/1

Rebeka, 2/1

Roho Takatifu, 10/1

‘Siku za Mwanadamu ni Miaka 120’ (Mwa 6:3), 12/15

Siri Unayoweza Kuwaambia Wengine, 12/1

Ufalme Ambao Utabadili Dunia, 10/1

Ukristo wa Mapema na Miungu ya Roma, 5/15

Utatu, 2/1

Utengano Kati ya Wayahudi na Wasamaria, 10/1

Vibweta Vyenye Maandiko, 5/1

Vileo Katika Nyakati za Biblia, 2/1

“Wafanyakazi Nyumbani” (Tit 2:5), 2/1

Wafu Wanaweza Kuwasaidia Walio Hai? 1/1

‘Wanaume Wenye Kutumia Visu’ (Mdo 21:38), 3/1

Watetezi wa Imani, 6/1

Zeri ya Gileadi, 6/1

MASHAHIDI WA YEHOVA

Afrika Kusini, 6/1

Bulgaria, 9/15

Grenada, 9/1

Haijawa Kuchelewa Sana Kumtumikia Mungu (Hispania), 12/15

Haiti, 12/1

Je, Wanaponya Kimuujiza? 10/1

Kifaa cha Kuwasaidia Vijana (Vijana Huuliza, Buku la 2), 2/15

“Kinanisaidia Kugusa Mioyo ya Watu” (kijitabu Nations), 10/15

Kuhitimu kwa Gileadi, 2/1, 8/1

Kushiriki Katika Ibada za Dini Nyingine, 6/1

Kuwa Macho (Finland), 7/15

Majumba ya Ufalme, 5/1

Makusanyiko ya Wilaya ya “Kaa Karibu na Yehova!” 3/1

Mkutano wa Kila Mwaka, 6/15

Papua New Guinea, 3/1

‘Toleo la Yehova’ (michango), 11/15

Ukumbusho, 3/1

Visiwa vya Mbali Kaskazini mwa Australia, 5/1

Watu Wote Wanaalikwa (Betheli), 8/15

MASIMULIZI YA MAISHA

Kutumika Wakati wa Ongezeko (H. Harris), 9/15

Majaribu Yalitusaidia Kumtegemea Yehova Zaidi (A. Dello Stritto), 4/15

‘Mambo Aliyotenda Yanaambatana Naye Moja kwa Moja’ (T. Jaracz), 11/15

Mtegemee Yehova (E. Schmidt), 9/1

Mungu Ni “Mtendaji wa Mambo Makuu” (M. Raj), 12/1

Nguvu za Kweli ya Biblia (V. Fraese), 12/15

Nimekuwa na Mengi ya Kufanya Katika Tengenezo la Yehova (V. Zubko), 10/15

YEHOVA

Alikuwa na Mwanzo? 7/1

Ametupa Uhuru wa Kuchagua, 9/1

Anajua Moyo, 12/1

Anasikiliza Kilio cha Mtu wa Hali ya Chini, 11/15

Anataka Uwe “Salama Salimini,” 4/15

Anaweza Kujuta? 2/1

“Ataacha Umpate” (1Nya 28:9), 11/1

Hana Ubaguzi, 9/1

‘Huona Moyo,’ 3/1

Hutafuta Mema, 7/1

Je, Mungu Ametuacha? 5/1

Je, Unamwona Kuwa Baba Yako? 2/15

Jina Katika Hekalu la Misri, 5/1

Kujua Maana ya Jina la Mungu? 7/1

Kwa Nini Anaahidi Uzima wa Milele? 1/1

“Mchukue Mwana Wako” (mwana afufuliwa), 8/1

“Moyo Uliovunjika na Kupondwa” Unapotafuta Msamaha, 5/1

“Msikiaji wa Sala,” 10/1

Mtimizaji wa Ahadi, 1/1

‘Ufalme Wako Utakuwa Imara’ (Daudi), 4/1

Unaacha Yehova Akuulize Maswali? 4/15

Ushikamanifu, 6/1

Wapigana Vita na Wakanaani, 1/1

Watu Wana Nafasi Sawa za Kumjua? 8/1

YESU KRISTO

Alijifunza Kutii, 4/1

Alikuwa Mtu Halisi, 4/1

Dhambi za Mwanamke Zasamehewa, 8/15

Hakujihusisha Katika Siasa, 7/1

Je, Alikuwa na Uhusiano wa Kiukoo na Mitume? 9/1

Je, Alikuwa na Uhusiano wa Kiukoo na Yohana Mbatizaji? 9/1

Jinsi ya Kumfuata, 5/1

Kwa Nini Aliitwa Kristo? 4/1

Kwa Nini Alikawia? 8/1

Kwa Nini Walimkataa? 12/1

Mafundisho Kuhusu Furaha, 8/1

Mafundisho Kuhusu Ibada ya Kweli, 2/1

Mafundisho Kuhusu Viumbe wa Roho, 11/1

Mamajusi Waliomtembelea, 12/1

Mtu Aliyeubadili Ulimwengu, 4/1

Ndiye Malaika Mkuu Mikaeli? 4/1

Ni Kweli au Si Kweli, 4/1

Seremala, 8/1

Watu Walioandika Kumhusu, 6/1