Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Unawaza Namna Gani?

Unawaza Namna Gani?

Biblia inaweza kukusaidia ukuwe rafiki ya Mungu?

WATU FULANI WANAAMINI KAMA . . .

hawawezi kuwa marafiki wa Mungu kwa sababu wanajiona kama hawako safi ao ni watenda-zambi. Wengine wanasema kuwa Mungu hatuhangaikie. Wewe unawaza nini?

MAMBO BIBLIA INASEMA

“Urafiki wa [Mungu] uko pamoja na watu wanyoofu.” (Methali 3:32) Ikiwa tunamutii Mungu, tutakuwa marafiki wake.

NI MAMBO GANI MENGINE YENYE TUNAWEZA KUJIFUNZA KATIKA BIBLIA?

  • Mungu anapenda kuwa Rafiki yetu.​—Yakobo 4:8.

  • Kwa sababu Mungu ni Rafiki yetu, iko tayari kutusaidia na kutusamehe.​—Zaburi 86:5.

  • Marafiki wa Mungu wanapenda mambo yenye anapenda na wanachukia mambo yenye anachukia.​—Waroma 12:9.