Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi na Amkeni! 2018

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi na Amkeni! 2018

Inaonyesha tarehe ya toleo ambamo makala inapatikana

MAKALA ZA FUNZO ZA MNARA WA MLINZI

BIBLIA

  • Fanya Funzo Liwe Lenye Kunufaisha na Kufurahisha, Julai

MAISHA YA KIKRISTO

  • Amani—Unaweza Kuipataje? Mei

  • Fadhili—Huonyeshwa Kupitia Maneno na Matendo, Nov.

  • “Mwadilifu Atashangilia kwa Sababu ya Yehova,” Des.

  • Nguvu za Salamu, Juni

  • Shangwe—Hutoka kwa Mungu, Feb.

  • Subira—Kuvumilia Ukiwa na Kusudi, Ago.

  • Waonyeshe Watu Wote Huruma, Julai

MAKALA ZA FUNZO

  • Acha Sheria na Kanuni za Mungu Zizoeze Dhamiri Yako, Juni

  • “Acheni Nuru Yenu Iangaze” ili Yehova Atukuzwe, Juni

  • Dumisha Amani ya Akili Licha ya Mabadiliko, Okt.

  • Endeleeni Kuonyeshana Upendo—Unajenga, Sept.

  • Endeleeni Kutiana Moyo “na Kufanya Hivyo Zaidi,” Apr.

  • Fanya Kazi Pamoja na Yehova Kila Siku, Ago.

  • Fundisha Kweli, Okt.

  • Heshimu “Kile Ambacho Mungu Ameunganisha,” Des.

  • Iga Imani na Utii wa Noa, Danieli, na Ayubu, Feb.

  • “Ikiwa Mnajua Mambo Haya, Mtakuwa Wenye Furaha Mkiyatenda,” Sept.

  • Inamaanisha Nini Kuwa Mtu wa Kiroho? Feb.

  • “Inunue Kweli Wala Usiiuze Kamwe,” Nov.

  • Je, Una Habari Kamili? Ago.

  • Je, Unafanya Mawazo ya Yehova Kuwa Mawazo Yako? Nov.

  • Je, Unamjua Yehova Kama Noa, Danieli, na Ayubu? Feb.

  • Jinsi ya Kupata Uhuru wa Kweli, Apr.

  • Kwa Nini ‘Tunaendelea Kuzaa Matunda Mengi’? Mei

  • Kwa Nini Umpe Yule Aliye na Kila Kitu? Jan.

  • Macho Yako Yanamtazama Nani? Julai

  • Mjue Adui Yako, Mei

  • Mtumaini Kiongozi Wetu—Kristo, Okt.

  • Mtumaini Yehova Uishi! Nov.

  • Mtumikie Yehova, Mungu wa Uhuru, Apr.

  • Mweza Yote, Lakini Mwenye Ufikirio, Sept.

  • Mwige Yehova kwa Kuwaonyesha Wengine Ufikirio na Fadhili, Sept.

  • Mwige Yehova—Mungu Ambaye Hututia Moyo, Apr.

  • Na Tuwe na Umoja Kama Yehova na Yesu Walivyo na Umoja, Juni

  • “Ni Nani Aliye Upande wa Yehova?” Julai

  • Ni Nani Ambaye Hufinyanga Njia Yako ya Kufikiri? Nov.

  • Ni Upendo wa Aina Gani Unaoleta Furaha ya Kweli? Jan.

  • Nidhamu—Uthibitisho wa Upendo wa Mungu, Mac.

  • “Nitatembea Katika Kweli Yako,” Nov.

  • Semeni Ukweli, Okt.

  • ‘Sikiliza Nidhamu Uwe na Hekima,’ Mac.

  • Sisi Ni Mali ya Yehova, Julai

  • Songa Mbele Ukiwa Mtu wa Kiroho! Feb.

  • Tofauti Kati ya Watu Wanaomtumikia Yehova na Wasiomtumikia, Jan.

  • “Tutaonana Paradiso!” Des.

  • Ubatizo—Takwa kwa Wakristo, Mac.

  • “Ufalme Wangu Si Sehemu ya Ulimwengu Huu,” Juni

  • Ukaribishaji Wageni—Sifa Inayovutia na Inayohitajika Sana! Mac.

  • Ukumbusho Huwaunganisha Watu wa Mungu, Jan.

  • Ungependa Kutambuliwa na Nani? Julai

  • Usihukumu kwa Kutazama Sura ya Nje, Ago.

  • Vijana, Je, Mnatanguliza Malengo ya Kiroho Maishani? Apr.

  • Vijana, Mnaweza Kuwa na Maisha Yenye Kuridhisha, Des.

  • Vijana, Muumba Wenu Anataka Muwe na Furaha, Des.

  • Vijana—Simameni Imara Mmpinge Ibilisi, Mei

  • Watu Wanaotoa kwa Ukarimu Ni Watu Wenye Furaha, Ago.

  • Wazazi, Je, Mnawasaidia Watoto Wenu Wafikie Hatua ya Ubatizo? Mac.

  • Wenye Furaha Ni Watu Wanaomtumikia “Mungu Mwenye Furaha,” Sept.

  • Yehova Anawapenda Wale ‘Wanaozaa Matunda kwa Uvumilivu,’ Mei

  • “Yeye Humpa Nguvu Mtu Aliyechoka,” Jan.

MAMBO MENGINE

  • Angeweza Kuwa na Kibali cha Mungu (Rehoboamu), Juni

  • Sheria ya Musa Ilitumiwa Kutatua Migogoro? Jan.

  • Stefano Alikuwa Mtulivu Alipoteswa, Okt.

  • Unajua Ni Saa Ngapi? (nyakati za Biblia), Sept.

MASHAHIDI WA YEHOVA

  • 1918—Miaka Mia Moja Iliyopita, Okt.

  • Hotuba za Watu Wote Zaeneza Habari Njema (Ireland), Feb.

  • Mavuno Tele! (Ukrainia), Mei

  • Mbegu za Kwanza za Ufalme Zapandwa (Ureno), Ago.

  • Tunaweza Kumpa Yehova Zawadi Gani? (michango), Nov.

  • Wakristo Wenye Umri Mkubwa—Yehova Anathamini Sana Ushikamanifu Wenu, Sept.

  • Walijitoa Wenyewe Nchini Madagaska, Jan.

  • Walijitoa Wenyewe Nchini Myanmar, Julai

  • Wanaume Mliowekwa Rasmi—Jifunzeni Kutoka kwa Timotheo, Apr.

MASIMULIZI YA MAISHA

  • Mambo Yote Yanawezekana kwa Yehova (B. Berdibaev), Feb.

  • Nilikuwa Maskini—Sasa Ni Tajiri (S. Herd), Mei

  • Nimeazimia Sitalegeza Mikono Yangu (M. Danyleyko), Ago.

  • Nimefarijiwa Katika Mahangaiko Yangu (E. Bazely), Juni

  • Yehova Alibariki Sana Uamuzi Wangu (C. Molohan), Okt.

  • ‘Yehova Ametutendea kwa Fadhili’ (J. Bockaert), Des.

  • Yehova Hajawahi Kamwe Kuniacha! (E. Bright), Mac.

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

  • Je, hatua ya kihukumu inapaswa kuchukuliwa ikiwa watu wa jinsia tofauti ambao hawajafunga ndoa watalala katika chumba kilekile usiku? Julai

  • Kwa nini hairuhusiwi kuweka machapisho yetu kwenye mtandao? Apr.

  • Kwa nini maneno ya andiko la Zaburi 144:12-15 yalirekebishwa? Apr.

  • Kwa nini Paulo huchorwa akiwa na upara? Mac.

  • Paulo “alinyakuliwa mpaka kwenye mbingu ya tatu” na “kuingia katika paradiso” jinsi gani? (2Ko 12:2-4), Des.

  • Wafadhili ambao Yesu alizungumza kuwahusu walikuwa nani? Nov.

TOLEO LA WATU WOTE LA MNARA WA MLINZI

  • Biblia—Kitabu Kisichopitwa na Wakati? Na. 1

  • Je, Mungu Anakujali? Na. 3

  • Maisha Yatakuwaje Wakati Ujao? Na. 2

AMKENI!

  • Kukabiliana na Huzuni ya Kufiwa, Na. 3

  • Njia ya Maisha Inayoleta Furaha, Na. 1

  • Siri za Mafanikio Katika Familia, Na. 2