Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi na Amuka! 2018

Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi na Amuka! 2018

Inaonyesha gazeti kwenye habari inapatikana

MUNARA WA MULINZI GAZETI LA FUNZO

BIBLIA

  • Kufanya Funzo Lako Likuwe Lenye Matokeo na Lenye Kufurahisha, 07

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

  • Kwa Yehova Mambo Yote Yanawezekana (B. Berdibaev), 02

  • Mwanzo Wenye Umaskini, Lakini Mwisho Wenye Utajiri (S. Herd), 05

  • Nimeazimia Kama Sitaacha Mikono Yangu Iregee (M. Danyleyko), 08

  • Nimefarijiwa Katika Mahangaiko Yangu (E. Bazely), 06

  • Yehova Alibariki Sana Uamuzi Wangu (C. Molohan), 10

  • ‘Yehova Ametutendea kwa Fazili’ (J. Bockaert), 12

  • Yehova Hajaacha Kunisaidia Hata Kidogo! (E. Bright), 03

HABARI ZA KUJIFUNZA

  • ‘Anamupatia Nguvu Mutu Aliyechoka,’ 01

  • Endelea Kukomaa Kiroho! 02

  • Endelea Kuonyesha Upendo​—Upendo Unajenga, 09

  • Endelea Kuwa na Amani ya Akili Hata Kama Hali Zinabadilika, 10

  • Fanya Kazi Pamoja na Yehova Kila Siku, 08

  • Heshimia “Kile Chenye Mungu Ameunganisha,” 12

  • “Kama Munajua Mambo Haya, Ninyi Ni Wenye Furaha Ikiwa Munayatenda,” 09

  • Kukaribisha Wageni Kunaleta Furaha Sana na Ni Jambo la Maana Sana! 03

  • Kuwa Mutu wa Kiroho Maana Yake Nini? 02

  • Macho Yako Yanaangalia Wapi? 07

  • ‘Muache Nuru Yenu Iangaze’ ili Kumutukuza Yehova, 06

  • Namna ya Kupata Uhuru wa Kweli, 04

  • Ni Mweza-Yote Lakini Anafikiria Wengine, 09

  • Ni Nani Anafinyanga Mawazo Yako? 11

  • “Ni Nani Iko Upande wa Yehova?” 07

  • “Nitatembea Katika Kweli Yako,” 11

  • Ni Upendo wa Aina Gani Wenye Kuleta Furaha ya Kweli? 01

  • Nizamu Inaonyesha Upendo wa Mungu, 03

  • Sababu Gani ‘Tunaendelea Kuzaa Matunda Mengi?’ 05

  • Sababu Gani Umutolee Ule Mwenye Kuwa na Kila Kitu? 01

  • Sikiliza Nizamu Ili Ukuwe na Hekima, 03

  • Sisi Ni wa Yehova, 07

  • Sisi Wote Tukuwe na Umoja Kama Vile Yehova na Yesu Wako na Umoja, 06

  • Tufundishe Kweli, 10

  • Tumainia Kiongozi Wetu​—Kristo, 10

  • Tuseme Kweli, 10

  • “Tutaonana Katika Paradiso!” 12

  • Tutiane Moyo, Zaidi Sana Leo, 04

  • Uache Sheria na Kanuni za Mungu Zizoeze Zamiri Yako, 06

  • Ubatizo​—Ni wa Maana Sana kwa Wakristo, 03

  • “Ufalme Wangu Si Sehemu ya Ulimwengu Huu,” 06

  • Uige Imani na Utii wa Noa, Danieli, na Ayubu, 02

  • Ukumbusho Unaunganisha Watu wa Mungu, 01

  • Umuige Yehova kwa Kufikiria Wengine na Kuwatendea kwa Wema, 09

  • Umuige Yehova​—Mungu Mwenye Kutia Moyo, 04

  • Umujue Adui Yako, 05

  • Umutegemee Yehova ili Uishi! 11

  • Umutumikie Yehova, Mungu wa Uhuru, 04

  • Unajikaza Kuwa na Mawazo Kama ya Yehova? 11

  • Unajua Ukweli wa Mambo? 08

  • Unamujua Yehova Kama Vile Noa, Danieli, na Ayubu Walimujua? 02

  • Unaona Tofauti Yenye Kuwa Kati ya Watu, 01

  • Unatafuta Kukubaliwa na Nani? 07

  • “Ununue Kweli na Usiiuzishe Hata Kidogo,” 11

  • Usihukumu Mutu Kulingana na Namna Anaonekana kwa Inje, 08

  • Vijana, Munakaza Akili juu ya Miradi ya Kiroho? 04

  • Vijana, Munaweza Kuwa na Maisha Yenye Furaha, 12

  • Vijana​—Musimame Imara na Kumupinga Ibilisi, 05

  • Vijana, Muumbaji Wenu Anapenda Mukuwe na Furaha, 12

  • Watu Wenye Kutoa kwa Ukarimu Ni Wenye Furaha, 08

  • Wazazi, Munasaidia Watoto Wenu Wafikie Ubatizo? 03

  • Wenye Furaha Ni Wale Wenye Kumutumikia “Mungu Mwenye Furaha,” 09

  • Yehova Anapenda Wale Wenye ‘Kuzaa Matunda kwa Uvumilivu,’ 05

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

  • Amani​—Namna Gani Unaweza Kuipata? 05

  • Fazili​—Inaonyeshwa Kupitia Maneno na Matendo, 11

  • “Mwenye Haki Atashangilia Katika Yehova,” 12

  • Onyesha Huruma Watu, 07

  • Salamu Iko na Nguvu Nyingi, 06

  • Shangwe​—Sifa Kutoka kwa Mungu, 02

  • Uvumilivu​—Onyesha Sifa Hii na Uko na Tumaini, 08

MAMBO INGINE

  • Angekubaliwa na Mungu (Rehoboamu), 06

  • Sheria ya Musa ilitumiwa ili kumaliza matatizo ya kukosa kuelewana? 01

  • Stefano alibakia mwenye kutulia wakati alikuwa anateswa, 10

  • Unajua Wakati? (Katika kipindi Biblia iliandikwa), 09

MASHAHIDI WA YEHOVA

  • 1918​—Kumepita Sasa Miaka Mia Moja, 10

  • Hotuba za Watu Wote Zinaeneza Habari Njema (Irelandi), 02

  • Mavuno Mengi! (Ukrainia), 05

  • Mbegu za Kwanza za Ufalme Zilipandwa (Portugal), 08

  • Ni Zawadi Gani Tunaweza Kumutolea Yehova? (michango), 11

  • Wakristo Wenye Kuzeeka​—Yehova Anapendezwa Sana na Ushikamanifu Wenu, 09

  • Walijitoa Katika Madagaska, 01

  • Walijitoa Katika Myanmar, 07

  • Wanaume Wenye Kuwa na Madaraka ​—Muige Mufano wa Timotheo, 04

MAULIZO YA WASOMAJI WETU

  • Mwanaume na mwanamuke wenye hawaoane wenye wanapitisha usiku pamoja wanastahili halmashauri ya hukumu? 07

  • Ni mu njia gani Paulo “alichukuliwa mupaka kwenye mbingu ya tatu (3)” na “katika paradiso”? (2Ko 12:2-4), 12

  • Sababu gani hairuhusiwe kutia vichapo vyetu kwenye site za Internete? 04

  • Sababu gani maneno ya Zaburi 144:12-15 ilirekebishwa? 04

  • Sababu gani Paulo anachapwa akiwa mwenye upala? 03

  • Watenda-mema wenye Yesu alizungumuzia walikuwa nani? 11

MUNARA WA MULINZI GAZETI LA WATU WOTE

  • Biblia Ingali Yenye Faida Leo? Na. 1

  • Maisha Yako ya Wakati Wenye Kuja Yatakuwa Namna Gani? Na. 2

  • Mungu Anakuhangaikia? Na. 3

AMUKA!

  • Musaada kwa Wale Wenye Wamefiwa na Mupendwa Wao, Na. 3

  • Njia ya Maisha Yenye Furaha, Na. 1

  • Siri ili Kuwa na Familia Yenye Furaha, Na. 2