Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Unaweza Kumkaribia Mungu

Unaweza Kumkaribia Mungu

BAADHI YA WATU HUHISI KWAMBA . . .

Mungu hajishughulishi sana na sisi au yeye ni mkuu sana, mtakatifu, na hatuwezi kumkaribia.

BIBLIA INASEMA HIVI

“Mkaribieni Mungu, naye atawakaribia ninyi.”—Yakobo 4:8.

“[Tupeni] mahangaiko yenu yote juu yake, kwa sababu yeye anawajali ninyi.”—1 Petro 5:7.

UNAWEZA KUFANYA NINI ILI USITAWISHE UHUSIANO WA KARIBU NA MUNGU?