Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Unaweza Kuwa Karibu na Mungu

Unaweza Kuwa Karibu na Mungu

WATU FULANI WANAWAZA KAMA . . .

Mungu hatuhangaikie kabisa ao iko juu sana, ni mutakatifu, na haiwezekane kumukaribia.

MAMBO YENYE BIBLIA INASEMA

“Mumukaribie Mungu, naye atawakaribia ninyi.”​—Yakobo 4:8.

“Mumutupie mahangaiko yenu yote, kwa sababu yeye anawahangaikia ninyi.”​—1 Petro 5:7.

TUNAWEZA KUFANYA NINI ILI KUWA KARIBU NA MUNGU?