Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATHAYO 20-21

“Kila Mutu Mwenye Anataka Kuwa Mukubwa Katikati Yenu Anapaswa Kuwa Mutumishi Wenu”

“Kila Mutu Mwenye Anataka Kuwa Mukubwa Katikati Yenu Anapaswa Kuwa Mutumishi Wenu”

20:28

Waandishi na Mafarisayo wenye majivuno walipenda watu wawaone na kuwasalimia kwenye soko

Waandishi na Mafarisayo wenye majivuno walipenda watu wawaone na walipenda kujulikana sana. (Mt 23:5-7) Yesu hakukuwa hivyo. ‘Mwana wa binadamu hakukuja ili watu wamutumikie, lakini ili yeye atumikie wengine.’ (Mt 20:28) Tunakubali kwanza migao yenye inaweza kufanya watu watuone na tujulikane sana? Yesu alisema mukubwa ni ule mwenye anatumikia wengine. Mara nyingi kazi hiyo inafanywa bila watu kuona; Yehova tu ndiye anaiona. (Mt 6:1-4) Mutumishi munyenyekevu anapaswa . . .

  • kusaidia kusafisha na kutengeneza Jumba la Ufalme

  • kuwa wa kwanza kusaidia wazee-wazee na wengine

  • kutoa feza zake ili kutegemeza mambo ya Ufalme