Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Saidia Wengine Watumikishe Uwezo Wao Wote

Saidia Wengine Watumikishe Uwezo Wao Wote

Mordekai alikuwa hodari na mushikamanifu (Est 3:2-4; it-2-F uku. 345 fu. 5)

Alisaidia Esta aone kama alikuwa na uwezo wa kufanya mambo ya muzuri (Est 4:7, 8; it-2-F uku. 345 fu. 7)

Alimutia moyo Esta akuwe hodari na amutumainie Yehova (Est 4:12-14; ia uku. 133 fu. 22-23)

UJIULIZE HIVI: ‘Maneno na matendo yangu inachochea wengine mu kutaniko watumie uwezo wao wote?’