UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Mufano Muzuri Juu ya Namna ya Kuzungumuza
Esta alingoya wakati wenye kufaa ili kusema (Est 7:2; ia uku. 140 fu. 15-16)
Alizungumuza kwa busara na kwa heshima (Est 7:3; ia uku. 140 fu. 17)
Alisema kweli na alisema mambo waziwazi (Est 7:4; ia uku. 141 fu. 18-19)
UJIULIZE HIVI: ‘Namna gani ninaweza kumuiga Esta wakati niko nazungumuza na watu wa familia yangu?’