Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Alitumia Mamlaka Yake Bila Ubinafsi

Alitumia Mamlaka Yake Bila Ubinafsi

Mordekai alipata cheo kilicho na mamlaka kubwa (Est 9:4; it-2 432 ¶2)

Alianzisha mwadhimisho wa kila mwaka wa kumsifu Yehova (Est 9:​20-22, 26-28; it-2 716 ¶5)

Aliwasaidia watu wote wa Mungu (Est 10:3)

Leo, wale walio na mamlaka fulani katika tengenezo la Yehova wanafanya yote wawezayo kuiga mfano wa Mordekai.—cl 101-102 ¶12-13.