UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Alitumia Mamlaka Yake kwa Ajili ya Wengine
Mordekai alipewa mamlaka ya juu (Est 9:4; it-2-F uku. 346 fu. 1)
Alianzisha sherehe ya kila mwaka ili kumutukuza Yehova (Est 9:20-22, 26-28; it-2-F uku. 627 fu. 8)
Alitumika ili kusaidia watu wa Mungu (Est 10:3)
Leo, wale wenye kuwa na madaraka fulani mu tengenezo ya Yehova wanafanya yao yote ili kuiga mufano wa Mordekai.—cl-SW uku. 101-102 fu. 12-13.