Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Alitumia Mamlaka Yake kwa Ajili ya Wengine

Alitumia Mamlaka Yake kwa Ajili ya Wengine

Mordekai alipewa mamlaka ya juu (Est 9:4; it-2-F uku. 346 fu. 1)

Alianzisha sherehe ya kila mwaka ili kumutukuza Yehova (Est 9:20-22, 26-28; it-2-F uku. 627 fu. 8)

Alitumika ili kusaidia watu wa Mungu (Est 10:3)

Leo, wale wenye kuwa na madaraka fulani mu tengenezo ya Yehova wanafanya yao yote ili kuiga mufano wa Mordekai.—cl-SW uku. 101-102 fu. 12-13.