Tarehe 9-15/10
YOBU 4-5
Wimbo 121 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Epuka Habari za Uongo”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Yob 4:4—Yobu aliwekea Wakristo mufano gani muzuri? (w03-SW 15/5 uku. 22 fu. 5-6)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Yob 5:1-27 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 2) Zungumuzia habari yenye kuwa ku sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. (th somo ya 4)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 5) Anza na sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Onyesha musikilizaji namna ya kupata habari ku jw.org. (th somo ya 15)
Funzo ya Biblia: (Dak. 5) lff somo ya 16 nukta ya 5 (th somo ya 16)
MAISHA YA MUKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo ya Biblia ya Kutaniko: (Dak. 30) lff somo ya 60
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 38 na Sala