Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

UTAJIRI WA NENO YA MUNGU

Epuka Habari za Uongo

Epuka Habari za Uongo

Mambo yenye Elifazi alisema ingeonekana kuwa ya kweli kwa sababu ya miaka yake na hekima yake (Yob 4:1;it-1-F uku. 725 fu. 17)

Alichochewa na roho waovu ili kusema mambo yenye ingemuvunja Yobu moyo (Yob 4:14-16; w05-SW 15/9 uku. 26 fu. 2)

Mambo fulani yenye Elifazi alisema ilikuwa ya kweli lakini aliitumia mubaya (Yob 4:19; w10-SW 15/2 uku. 19 fu. 5-6)

Ulimwengu wa Shetani unaendelea kueneza habari zenye zinaweza kuumiza.

UJIULIZE HIVI: ‘Ninakamata wakati wa kuchunguza habari zenye ninapata?’—mrt 32 fu. 13-17.