Tarehe 16-22/10
YOBU 6-7
Wimbo 33 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Wakati Maisha Inakuwa Nguvu Sana Kuvumilia”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Yob 6:29—Nini inaweza kutusaidia kuepuka kuhukumu ndugu zetu? (w20.04 uku. 16 fu. 10)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) Yob 6:1-21 (th somo ya 2)
TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza na habari yenye kuwa ku sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Jibia kizuia-mazungumuzo yenye watu wanazoea kutokeza mu eneo yenu. (th somo ya 7)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Anza na habari yenye kuwa ku sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Umupatie musikilizaji kichapo fulani kati ya Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (th somo ya 11)
Hotuba: (Dak. 5) w22.01 uku. 12-13 fu. 15-18—Kichwa: Ufundishe Muzuri Kama Yakobo—Tumia Mifano Yenye Kugusa Moyo. (th somo ya 8)
MAISHA YA MUKRISTO
“Yehova Anaokoa Wale Wenye Kupondwa Roho”: (Dak. 15) Mazungumuzo na video.
Funzo ya Biblia ya Kutaniko: (Dak. 30) lff maulizo ya kujikumbusha ya sehemu ya 4
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 143 na Sala