UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
Upendo Mushikamanifu wa Mungu Unatulinda ili Shetani Asitudanganye
Shetani anapenda watu waamini kama Yehova njo analetaka mambo ya mubaya (Yob 8:4)
Anapenda tuamini kama Yehova haangaike ikiwa tuko waaminifu kwake ao hapana (Yob 9:20-22; w15 1/7 uku. 12 fu. 3)
Upendo mushikamanifu wa Yehova unatusaidia kuepuka uongo wa Shetani na kuendelea kuwa washikamanifu (Yob 10:12; Zb 32:7, 10; w21.11 uku. 6 fu. 14)
PIMA KUFANYA HIVI: Ili uendelee kuwa nguvu wakati wa majaribu, tambua ni mu njia gani mbalimbali Yehova iko nakuonyesha upendo mushikamanifu, uziandike, na uzisome mara kwa mara.