Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Njia Tatu za Kupata Hekima na Kunufaika Nayo

Njia Tatu za Kupata Hekima na Kunufaika Nayo

Angalia uumbaji (Ayu 12:​7-9; w09 4/15 6 ¶17)

Sitawisha urafiki na Wakristo waaminifu (Ayu 12:12; w21.06 10 ¶10-12)

Jifunze viwango vya Mungu na uvitumie maishani mwako (Ayu 12:16; it-2 1190 ¶2)

JIULIZE, ‘Nimejifunza nini kwa kutumia wakati pamoja na Wakristo waaminifu?’