Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi na Amkeni! 2020

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi na Amkeni! 2020

Inaonyesha toleo ambamo kila makala inapatikana

MAKALA ZA FUNZO ZA MNARA WA MLINZI

BIBLIA

  • Uvumbuzi wa vitu vya kale unathibitisha nini kumhusu Belshaza? Feb.

MAISHA YA KIKRISTO

  • Jitoe kwa Moyo Wako Wote Kwenye Mgawo Wako! Des.

  • Kujizuia​—Sifa Muhimu Ili Tupate Kibali cha Yehova, Juni

  • Upole—Unatunufaishaje? Mei

MAKALA ZA FUNZO

  • Acha Yehova Akubembeleze, Feb.

  • “Basi, Nendeni Mkafanye Wanafunzi,” Jan.

  • Endelea Kutembea Katika Kweli, Julai

  • Fuatilia Amani kwa Kuushinda Wivu, Feb.

  • Heshimu Sehemu ya Wengine Katika Kutaniko la Yehova, Ago.

  • Je, Uko Tayari Kubatizwa? Mac.

  • Je, Uko Tayari Kuwa Mvuvi wa Watu? Sept.

  • Je, Unangojea “Jiji Lililo na Misingi ya Kweli”? Ago.

  • Je, Unathamini Zawadi Zinazotoka kwa Mungu? Mei

  • Je, Utaendelea Kurekebishwa Upya? Nov.

  • Je, Watamtumikia Yehova Watakapokuwa Watu Wazima? Okt.

  • “Jina Lako na Litakaswe,” Juni

  • Jinsi Unavyoweza Kushinda Hisia za Kuvunjika Moyo Des.

  • Jinsi ya Kumsaidia Mwanafunzi wa Biblia Afikie Hatua ya Ubatizo—Sehemu ya Kwanza, Okt.

  • Jinsi ya Kumsaidia Mwanafunzi wa Biblia Afikie Hatua ya Ubatizo—Sehemu ya Pili, Okt.

  • Jinsi ya Kuwasaidia Wengine Washike Amri za Kristo, Nov.

  • ‘Kimbia Mbio Mpaka Mwisho,’ Apr.

  • “Linda Yote Uliyokabidhiwa,” Sept.

  • “Mfalme wa Kaskazini” Katika Wakati wa Mwisho, Mei

  • “Mfalme wa Kaskazini” Ni Nani Leo? Mei

  • “Mimi Mwenyewe Nitawatafuta Kondoo Wangu,” Juni

  • Ni Wakati Gani Unaofaa Kuongea? Mac.

  • “Nimewaita Rafiki,” Apr.

  • “Ninapokuwa Dhaifu, Ndipo Ninapokuwa na Nguvu,” Julai

  • “Nirudieni,” Juni

  • Onyesha Kwamba Unathamini Hazina Zisizoonekana, Mei

  • Pendaneni Sana, Mac.

  • “Roho Yenyewe Hutoa Ushahidi,” Jan.

  • Shambulizi Kutoka Kaskazini! Apr.

  • Sikiliza, Jifunze, na Uonyeshe Huruma, Apr.

  • ‘Tazama Mbele Moja kwa Moja’ Kwenye Wakati Ujao, Nov.

  • Tembea kwa Unyenyekevu na kwa Kiasi na Mungu Wako, Ago.

  • Tenda kwa Hekima Katika Kipindi Chenye Amani, Sept.

  • Tumaini la Ufufuo Ni Hakika! Des.

  • Tunampenda Sana Yehova, Baba Yetu, Feb.

  • Tutaenda Pamoja Nanyi, Jan.

  • Ufufuo Unafunua Upendo, Hekima, na Subira ya Mungu, Ago.

  • Una Sehemu Yako Katika Kutaniko la Yehova! Ago.

  • Unaweza Kuwa “Chanzo cha Faraja Nyingi,” Jan.

  • Unayaonaje Mashamba? Apr.

  • “Unganisha Moyo Wangu Ili Niliogope Jina Lako,” Juni

  • Upendo na Uthamini Wetu kwa Yehova Hutuchochea Kubatizwa, Mac.

  • Usijifikirie Mwenyewe Kuliko Ilivyo Lazima Kufikiri, Julai

  • “Usipumzishe Mkono Wako,” Sept.

  • Uwe Jasiri—Yehova Ni Msaidizi Wako, Nov.

  • Uwe na Hakika Kwamba Umeipata Kweli, Julai

  • “Wafu Watafufuliwaje?” Des.

  • Watie Moyo Wanawake Wakristo, Sept.

  • Yehova Analiongoza Tengenezo Lake, Okt.

  • Yehova, Baba Yetu Anatupenda Sana, Feb.

  • “Yehova . . . Huwaokoa Waliovunjika Moyo,” Des.

  • Yehova Mungu Wako Anakuthamini! Jan.

MAMBO MENGINE

  • Uthibitisho Unaoonyesha Kwamba Waisraeli Walikuwa Watumwa Huko Misri, Mac.

  • Wafalme Wanaopigana Katika Wakati wa Mwisho, Mei

MASHAHIDI WA YEHOVA

  • 1920—Miaka Mia Moja Iliyopita, Okt.

  • Kuitikia Mwito wa Tarumbeta Leo, Juni

  • Yehova Huwabariki Wale Wanaorudi Katika Nchi Walizozaliwa, Nov.

MASIMULIZI YA MAISHA

  • Kujifunza Kutokana na Mifano Mizuri Kuliniletea Baraka Nyingi (L. Crépeault), Feb.

  • Nimefanya Kile Nilichopaswa Kufanya (D. Ridley), Julai

  • “Sisi Hapa! Tutume Sisi!” (J. na M. Bergame), Mac.

  • “Yehova Ameendelea Kunikumbuka” (M. Herman), Nov.

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

  • Je, andiko la Methali 24:16 linarejelea mtu ambaye anaanguka katika dhambi tena na tena? Des.

  • Je, andiko la Mhubiri 5:8 linarejelea tu watawala wa kibinadamu, au linamhusu pia Yehova? Sept.

  • Je, andiko la 1 Wakorintho 15:29 linadokeza kwamba baadhi ya Wakristo walibatizwa kwa niaba ya wafu? Des.

  • Je, sifa za “tunda la roho” ni zile tu zinazotajwa kwenye Wagalatia 5:22, 23? Juni

  • Polisi wa Kiyahudi wa hekaluni walikuwa nani? Walifanya kazi gani? Mac.

  • Yesu aliwekwa kuwa Kuhani Mkuu lini? Kuna tofauti yoyote kati ya wakati ambapo agano jipya lilihalalishwa na wakati lilipozinduliwa? Julai

TOLEO LA WATU WOTE LA MNARA WA MLINZI

  • Baraka Kutoka kwa Mungu Mwenye Upendo, Na. 3

  • Jitihada za Kutafuta Kweli, Na. 1

  • Ufalme wa Mungu Ni Nini? Na. 2

AMKENI!

  • Je, Inawezekana Kuushinda Ubaguzi? Na. 3

  • Maswali Matano Kuhusu Kuteseka Yajibiwa, Na. 2

  • Unaweza Kukabiliana na Mkazo—Jinsi Gani? Na. 1