Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Endekse ya Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi na Amuka! 2020

Endekse ya Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi na Amuka! 2020

Inaonyesha gazeti kwenye kila habari inapatikana

MUNARA WA MULINZI GAZETI LA FUNZO

BIBLIA

  • Vitu Vyenye Vilivumbuliwa Vinahakikisha Kama Belshaza Alikuwa Mufalme? 02

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

  • Kuiga Mifano ya Muzuri Kuliniletea Baraka Mingi (Léonce Crépeault), 02

  • Nimefanya Yale Nilipaswa Kufanya (Don Ridley), 07

  • “Sisi Hapa! Mututume!” (Jack Bergame na Marie-Line), 03

  • “Yehova Hakunisahau” (Mark Herman), 11

HABARI ZA KUJIFUNZA

  • Acha Yehova Akutulize, 02

  • Endelea Kutembea Katika Kweli, 07

  • Fuatilia Amani kwa Kupiganisha Wivu, 02

  • Heshimia Kila Mutu mu Kutaniko la Yehova, 08

  • “Jina Lako Litakaswe,” 06

  • ‘Kimbia Mbio Mupaka Mwisho,’ 04

  • Kumupenda Yehova na Kuwa Mwenye Shukrani Kutakuchochea Ubatizwe, 03

  • “Kwa Hiyo, Muende, na Mufanye Wanafunzi,” 01

  • “Linda Yote Yenye Ulipewa,” 09

  • “Mimi Mwenyewe, Nitatafuta Kondoo Wangu,” 06

  • “Mufalme wa Kaskazini” Katika Wakati wa Mwisho, 05

  • “Munirudilie,” 06

  • Mupendane Sana, 03

  • Namna Gani Unaweza Kupambana na Hali ya Kuvunjika Moyo? 12

  • Namna ya Kusaidia Wanafunzi wa Biblia Wafikie Kubatizwa​—Sehemu ya Kwanza, 10

  • Namna ya Kusaidia Wanafunzi wa Biblia Wafikie Kubatizwa​—Sehemu ya Pili, 10

  • Namna ya Kusaidia Wengine Washike Amri za Kristo, 11

  • Ni Nani “Mufalme wa Kaskazini” Leo? 05

  • Ni Wakati Gani Inafaa Kusema? 03

  • “Nimewaita Ninyi Marafiki,” 04

  • Onyesha Kama Uko Mwenye Shukrani kwa Ajili ya Zawadi Zenye Hazionekane, 05

  • “Roho Yenyewe Inatoa Ushahidi,” 01

  • Shambulizi Kutoka Kaskazini! 04

  • Tenda kwa Hekima Wakati Kungali Amani, 09

  • Tunamupenda Sana Yehova, Baba Yetu, 02

  • Tutaenda Pamoja na Ninyi, 01

  • Tutegemeze Dada Zetu Wakristo, 09

  • Uendelee “Kuangalia Mbele,” 11

  • Ufufuo Ni Tumaini la Kweli! 12

  • Ufufuo Unaonyesha Kama Mungu Iko na Upendo, Hekima, na Uvumilivu, 08

  • Uko Mwenye Shukrani kwa Ajili ya Zawadi Zenye Mungu Amekupatia? 05

  • Uko na Mawazo Gani Juu ya Watu wa Eneo Lako? 04

  • Uko Tayari Kubatizwa? 03

  • Uko Tayari Kuwa Muvuvi wa Watu? 09

  • Uko Unangojea “Muji Wenye Uko na Misingi ya Kweli”? 08

  • Uko wa Maana Sana mu Kutaniko la Yehova! 08

  • Ukuwe Hakika Kama Mambo Yenye Unaamini Ni ya Kweli, 07

  • Ukuwe Hodari​—Yehova Ni Musaidizi Wako, 11

  • Unaweza Kuwa “Chanzo cha Faraja Nyingi,” 01

  • “Unganisha Moyo Wangu ili Niogope Jina Lako,” 06

  • “Usiache Mukono Wako Upumuzike,” 09

  • Usijifikirie Mwenyewe Sana Kuliko Vile Inaomba Kufikiri, 07

  • Usikilize Wengine, Uwajue Muzuri, na Uwasikilie Huruma, 04

  • Utaendelea Kurekebishwa? 11

  • Utembee kwa Unyenyekevu na kwa Kiasi Pamoja na Mungu Wako, 08

  • “Wafu Watafufuliwa Namna Gani?” 12

  • “Wakati Niko Muzaifu, Ndio Wakati Ninakuwa na Nguvu,” 07

  • Watoto Wako Watamutumikia Yehova Wakati Watakomaa? 10

  • “Yehova . . . Anaokoa Wale Wenye Kuvunjika Moyo,” 12

  • Yehova, Baba Yetu, Anatupenda Sana, 02

  • Yehova Iko Anaongoza Tengenezo Lake, 10

  • Yehova Mungu Wako Anakuona Kuwa wa Maana! 01

MAISHA NA SIFA ZA KIKRISTO

  • Kujizuia Ni Sifa ya Maana Sana ili Kukubaliwa na Yehova, 06

  • Upole​—Unatuletea Faida Gani? 05

  • Utimize Mugao Wako kwa Moyo Wako Wote! 12

MAMBO INGINE

  • Ushuhuda Wenye Unaonyesha Kama Waisraeli Walikuwa Watumwa Misri, 03

  • Wafalme Wenye Kushindana Katika Wakati wa Mwisho, 05

MASHAHIDI WA YEHOVA

  • 1920​—Kumepita Sasa Miaka Mia Moja, 10

  • Kutenda Kupatana na Milio ya Tarumbeta Leo, 06

  • Yehova Anabariki Wale Wenye Wanarudia Katika Inchi Zao, 11

MAULIZO YA WASOMAJI WETU

  • Je, 1 Wakorinto 15:29 inamaanisha kama Wakristo walikuwa wanabatizwa kwa ajili ya wafu? 12

  • Mezali 24:16 inahusu mutu mwenye kufanya zambi tena na tena? 12

  • Muhubiri 5:8 inazungumuzia watawala wanadamu tu, ao inamuhusu pia Yehova? 09

  • Ni wakati gani Yesu alifikia kuwa Kuhani Mukubwa? Je, kuko tofauti kati ya wakati agano jipya lilikubaliwa na wakati lilizinduliwa? 07

  • Polisi Wayahudi wa hekalu walikuwa nani? Walikuwa na kazi gani? 03

  • Sifa zenye kutajwa katika Wagalatia 5:22, 23 njo sehemu zote za “tunda la roho”? 06

MUNARA WA MULINZI GAZETI LA WATU WOTE

  • Mambo ya Kufanya juu Upate Baraka za Milele za Mungu, Na. 3

  • Namna ya Kupata Kweli, Na. 1

  • Ufalme wa Mungu Ni Nini? Na. 2

AMUKA!

  • Kitulizo kwa Wale Wenye Kuwa na Mukazo, Na. 1

  • Kuko Dawa ya Kumaliza Ubaguzi? Na. 3

  • Majibu ya Maulizo 5 Kuhusu Mateso, Na. 2