Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi na Amkeni! 2021

Fahirisi ya Habari za Mnara wa Mlinzi na Amkeni! 2021

Inaonyesha toleo ambamo kila makala inapatikana

TOLEO LA FUNZO LA MNARA WA MLINZI

BIBLIA

  • Maandishi fulani ya kale yanaiungaje mkono Biblia? Jan.

MAISHA YA KIKRISTO

  • Je, Wewe Ni Mfanyakazi Mwenzi Mzuri? Des.

  • Kujenga Upya Urafiki Wako Pamoja na Yehova, Okt.

MAKALA ZA FUNZO

  • Dumisha Mtazamo Unaofaa Kuelekea Huduma Yako, Mei

  • Endelea Kuithamini Fidia, Apr.

  • Endelea Kusitawisha Upendo Mwororo, Jan.

  • Endelea Kuwa Mtulivu na Kumtumaini Yehova, Jan.

  • Endeleeni ‘Kumsikiliza,’ Des.

  • Endeleeni Kuonyeshana Upendo Mshikamanifu, Nov.

  • Enyi Wenzi Wapya wa Ndoa—Tangulizeni Maishani Utumishi Wenu kwa Yehova, Nov.

  • Epuka Kuchochea Mashindano—Endeleza Amani, Julai

  • ‘Fuateni Hatua Zake kwa Ukaribu,’ Apr.

  • Furahia Maendeleo Yako Mwenyewe! Julai

  • Hakuna Kitu Chochote Kinachoweza Kuwakwaza Waadilifu, Mei

  • Iga Uvumilivu wa Yehova, Julai

  • Imani Yako Itakuwa na Nguvu Kadiri Gani? Nov.

  • Imarisha Imani Yako Katika Muumba, Ago.

  • Imarisha Upendo Wako kwa Familia Yako ya Kiroho, Sept.

  • Je, Uko Tayari Kumngojea Yehova? Ago.

  • Je, Unaweza Kushiriki Katika Kazi ya Kufanya Wanafunzi? Julai

  • Je, Utakwazika kwa Sababu ya Yesu? Mei

  • Jinsi Tunavyoweza Kupata Nguvu Kupitia Maandiko, Mac.

  • Jinsi ya Kudumisha Shangwe Tunapovumilia Majaribu, Feb.

  • “Kichwa cha Kila Mwanamume Ni Kristo,” Feb.

  • “Kichwa cha Mwanamke Ni Mwanamume,” Feb.

  • Kuuelewa Mpango wa Ukichwa Kutanikoni, Feb.

  • “Lazima Muwe Watakatifu,” Des.

  • Mambo Tunayojifunza Kutoka kwa “Mwanafunzi Ambaye Yesu Alimpenda,” Jan.

  • Mambo Tunayojifunza Kutokana na Maneno ya Mwisho ya Yesu, Apr.

  • Mambo Tunayojifunza Kwenye Mambo ya Walawi Kuhusu Jinsi ya Kuwatendea Wengine, Des.

  • Mkiwa Kutaniko, Wasaidieni Wanafunzi wa Biblia Wafikie Hatua ya Ubatizo, Mac.

  • Mpendwa Wako Anapomwacha Yehova, Sept.

  • Msiwakwaze “Hawa Wadogo,” Juni

  • “Nitayatikisa Mataifa Yote,” Sept.

  • “Onjeni” Wema wa Yehova​—Jinsi Gani? Ago.

  • Pata Shangwe Katika Mapendeleo Uliyo Nayo, Ago.

  • Shikamana na Kweli Ukiwa na Usadikisho Thabiti, Okt.

  • Sikilizeni Sauti ya Mchungaji Mwema, Des.

  • Sikuzote Yehova Yuko Pamoja Nawe, Hauko Peke Yako, Juni

  • Thamini Nguvu za Vijana, Sept.

  • Thamini Sehemu Yako Katika Familia ya Yehova, Ago.

  • Toba ya Kweli Ni Nini? Okt.

  • Tunamtumikia Mungu Aliye “Tajiri Katika Rehema,” Okt.

  • Umati Mkubwa wa Kondoo Wengine Unamsifu Mungu na Kristo, Jan.

  • Unaweza Kutoka Kwenye Mitego ya Shetani! Juni

  • Upendo Hutusaidia Kuvumilia Chuki, Mac.

  • Upendo Mshikamanifu wa Yehova Unamaanisha Nini Kwako? Nov.

  • Usife Moyo! Okt.

  • Wanaume Vijana—Mnaweza Kufanya Nini Ili Wengine Wawaamini? Mac.

  • Wasaidie Wanafunzi Wako wa Biblia Wafikie Ubatizo, Juni

  • Wathamini Ndugu na Dada Zetu Waaminifu Wenye Umri Mkubwa, Sept.

  • Yehova Anakuthamini! Apr.

  • Yehova Atakulinda​—Jinsi Gani? Mac.

  • Yehova Atakupa Nguvu, Mei

MAMBO MENGINE

  • Jiji la Ninawi baada ya siku za Yona, Nov.

  • Kodi katika siku za Yesu, Juni

  • Kwa Sababu tu ya Tabasamu! Feb.

  • Mafunjo yalitumika kutengeneza mashua nyakati za Biblia, Mei

MASHAHIDI WA YEHOVA

  • 1921​—Miaka Mia Moja Iliyopita, Okt.

MASIMULIZI YA MAISHA

  • Jitihada Yangu ya Kutafuta Maisha Yenye Kujaa Kusudi (M. Witholt), Nov.

  • Katika Maamuzi Yangu Yote, Nilimtanguliza Yehova (D. Yazbek), Juni

  • Maisha Yenye Furaha Katika Utumishi wa Yehova (J. Kikot), Julai

  • “Nimejifunza Mambo Mengi Kutoka kwa Wengine!” (L. Breine), Mei

  • “Sasa Ninaipenda Huduma!” (V. Vicini), Apr.

  • Tulijifunza Kufanya Jambo Lolote Ambalo Yehova Alitaka Tufanye (K. Logan), Jan.

  • Yehova ‘Amevinyoosha Vijia Vyangu’ (S. Hardy), Feb.

MASWALI KUTOKA KWA WASOMAJI

  • Kwa nini uwe mwangalifu inapohusu kutumia programu za kutuma ujumbe mfupi? Mac.

  • Kwa nini Yesu alinukuu Zaburi 22:1 kabla tu ya kifo chake? Apr.

  • Maana ya amri ya ‘kutohatarisha uhai wa’ mtu (Law. 19:16), Des.

  • Mashahidi wanapaswa kuzionaje tovuti za kutafuta wenzi wa ndoa? Julai

  • Mtume Paulo alimaanisha nini aliposema: “Kupitia sheria nilikufa kuielekea sheria”? (Gal. 2:19), Juni

TOLEO LA WATU WOTE LA MNARA WA MLINZI

  • Kusali Kuna Faida Gani? Na. 1

  • Ulimwengu Bora Uko Karibu! Na. 2

  • Unawezaje Kuwa na Maisha Bora ya Wakati Ujao? Na. 3

AMKENI!

  • Hekima ya Kukuongoza Uwe na Maisha Yenye Furaha, Na. 1

  • Je, Uamini Kuna Muumba? Chunguza Uthibitisho, Na. 3

  • Teknolojia​—Inakutawala au Inakusaidia? Na. 2