Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

PENDEKEZO JUU YA MAMBO YA KUJIFUNZA

Kuvumilia Ukosefu wa Haki

Kuvumilia Ukosefu wa Haki

Soma Mwanzo 37:23-28; 39:17-23 juu uone namna mufano wa Yosefu unaweza kutusaidia kuvumilia ukosefu wa haki.

Chunguza habari yote. Juu ya nini walimutendea Yosefu bila haki? (Mwa. 37:3-11; 39:1, 6-10) Yosefu alivumilia ukosefu wa haki kwa muda gani? (Mwa. 37:2; 41:46) Mu ile wakati ni mambo gani yenye Yehova alimufanyia Yosefu na ni mambo gani yenye Yehova hakufanya?—Mwa. 39:2, 21; w23.01 uku. 17 fu. 13.

Ujifunze mambo mingi zaidi. Hakuna kwenye Biblia inasema kama Yosefu alijitetea wakati bibi ya Potifa alimusemea uongo. Namna gani maandiko yenye kufuata inaweza kutusaidia tuelewe sababu yenye pengine ilifanya Yosefu asijitetee, ao juu ya nini hatupaswe kutazamia kama Biblia inapaswa kuzungumuzia kila jambo, hata mambo ya kidogo-kidogo? (Mez. 20:2; Yoh. 21:25; Mdo. 21:37) Inawezekana ni sifa gani njo zilimusaidia Yosefu kuvumilia ukosefu wa haki?—Mik. 7:7; Lu. 14:11; Yak. 1:2, 3.

Unajifunza nini? Ujiulize hivi: