Hamia kwenye habari

Matembezi ya Betheli

Tunakualika kwa uchangamfu utembelee ofisi zetu za tawi, tunazoziita Betheli. Baadhi ya ofisi zetu zina maonyesho utakayotembelea ukiwa peke yako.

Kurejea kwa Matembezi ya Ofisi: Katika nchi nyingi, tutaanza tena kuruhusu matembezi katika ofisi zetu za tawi kuanzia Juni 1, 2023. Ili kupata habari zaidi, wasiliana na ofisi ya tawi unayopenda kuitembelea. Tafadhali usitembelee ofisi ya tawi ikiwa una ugonjwa wa Virusi vya Corona (COVID-19), una dalili za homa au mafua, au hivi karibuni ulishirikiana na mtu aliye na ugonjwa wa COVID-19.

Japani

Habari Kuhusu Matembezi

Toa Ombi la Matembezi

Angalia au Ubadili Maombi

Pakua Broshua ya Matembezi

Maonyesho

Urithi wetu. Maonyesho haya yanaonyesha jinsi Yehova amebariki kazi ya kuhubiri nchini Japani kwa zaidi ya miaka 100 sasa. Wageni watajifunza kuhusu historia ya Mashahidi wa Yehova katika nchi hii, na wataona vifaa mbalimbali vilivyotumiwa pamoja na kazi ambayo wamishonari wamefanya.

Biblia Nchini Japani. Kuna Biblia nyingi adimu katika sehemu hii ya maonyesho, kutia ndani tafsiri ya kwanza ya Biblia katika Kijapani.

Anwani na Namba ya Simu