Hamia kwenye habari

Kumbuka Kifo cha Yesu

Kumbuka Kifo cha Yesu

Kila mwaka Mashahidi wa Yehova hukumbuka kifo cha Yesu kwa njia aliyoagiza. (Luka 22:19, 20) Tunakualika uhudhurie pamoja nasi tukio hili muhimu. Utajifunza jinsi unavyoweza kufaidika kutokana na maisha na kifo cha Yesu.