MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Januari 2013

Walijitoa Wenyewe kwa Hiari Nchini Norway

Swali wasilotarajia liliwachocheaje kutumikia eneo lenye uhitaji mkubwa zaidi?

Uwe Hodari—Yehova Yupo Pamoja Nawe!

unaweza kunufaika kutokana na mifano ya Yoshua, Yehoyada, Danieli, na wengine walioonyesha imani na uhodari.

Usiruhusu Kitu Chochote Kikutenganishe na Yehova

Chunguza jinsi tunavyoweza kufanya maamuzi mazuri kuhusu kazi, burudani, na familia yetu.

Endelea Kumkaribia Yehova

Tunawezaje kumkaribia Yehova kwa kuwa na usawaziko katika matumizi ya teknolojia, afya, pesa, na kujivunia mambo yanayofaa?

Kumtumikia Mungu Bila Majuto

Mtume Paulo alifanya makosa mazito na maamuzi yenye hekima maishani mwake. Tunaweza kujifunza nini kutokana na mfano wake?

Wazee Wakristo Ni ‘Wafanyakazi Wenzi kwa Shangwe Yetu’

Wazee wanawasaidiaje ndugu na dada kupata furaha katika utumishi wa Mungu?

Kampeni Iliyopangwa Vizuri Yanafanikiwa

Soma kuhusu jinsi msichana wa-miaka-kumi alivyojitahidi kuwaalika katika tukio la pekee wote waliozungumza lugha ya Mapudungun shuleni mwao.