MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Agosti 2013

Toleo hili linazungumzia jinsi ya kubaki mtakatifu na wenye manufaa katika kazi ya Mungu, jinsi ya kuepuka kumlaumu Mungu kwa sababu ya matatizo yetu, na jinsi ya kupambana na hali ya kuvunjika moyo.

Mmetakaswa

Chunguza mambo manne yanayoweza kutusaidia kubaki watakatifu na kuendelea kumtumikia Mungu.

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Je, ingefaa wazazi Wakristo kuketi pamoja na mtoto wao aliyetengwa na ushirika katika mikutano ya kutaniko?

SIMULIZI LA MAISHA

Yehova ‘Hunibebea Mzigo Wangu Kila Siku’

Licha ya matatizo makubwa ya kiafya, ni nini kilichomsaidia dada kutoka Namibia kutumikia kwa shangwe akiwa painia kwa zaidi ya miaka 20?

Usiwe Kamwe na “Ghadhabu Juu ya Yehova”

Wengine wamemkasirikia Mungu moyoni mwao. Wanamlaumu kwa sababu ya matatizo yao. Tunawezaje kuepuka mtego huo?

Wazazi—Wazoezeni Watoto Wenu Tangu Wakiwa Wachanga

Mtoto anapaswa kuanza kuzoezwa mapema kadiri gani? Mazoezi hayo yanapaswa kutia ndani nini?

Mfikiriane na Kutiana Moyo

Tunawezaje kusaidiana kuendelea kumtumikia Mungu kwa uaminifu hata tukiwa na matatizo?

Fikiria Unapaswa Kuwa Mtu wa Namna Gani

Shetani hataki tupate kibali cha Mungu. Tunaweza kufanya nini ili kuulinda urafiki wetu pamoja na Yehova?

Elisha Aliona Magari ya Vita Yenye Moto—je, Unayaona?

Elisha alisitawisha imani yenye nguvu naye alimtegemea Yehova kabisa. Tunaweza kujifunza nini kutokana na mfano wake?

HIFADHI YETU YA VITU VYA KALE

Mfalme Alifurahi Sana!

Soma kuhusu jinsi mfalme wa Swaziland alivyothamini kujifunza kweli za Biblia.