MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 12, 2013 | Tuna Lazima ya Mungu?
Watu wengi wanaona kwamba hawana lazima ya Mungu ao hawana wakati wa kuhangaikia mambo ya Mungu. Je, kuna faida yoyote kabisa ya kumujua Mungu?
HABARI KUBWA
Sababu Gani Ulizo Hilo Linaulizwa?
Fikiria sababu fulani zinazofanya watu wengi ambao wanasema kwamba wanamuamini Mungu wafanye maamuzi ambayo yanaonyesha kama vile hakuna Mungu.
HABARI KUBWA
Sababu Gani Tuna Lazima ya Mungu?
Tafuta kujua namna gani urafiki pamoja na Mungu unaweza kukuongoza kwenye maisha yenye furaha na yenye kusudi.
HABARI JUU YA MAISHA YA WATU
Nimefanya Kumutumikia Yehova Iwe Kazi Yangu ya Maisha
Miezi michache tu mbele ya kuwa fundi wa ujenzi, Bill Walden aliamua kufuatilia kazi nyingine ya maisha iliyokuwa tofauti. Soma namna gani uamuzi wa kumutumikia Mungu wakati wote ulibadilisha maisha yake.
MUKARIBIE MUNGU
“Tazama! Ninafanya Vitu Vyote Kuwa Vipya”
Unataka kuishi katika dunia ambamo maumivu, mateso, na kifo yatakuwa mambo ya zamani? Tafuta kujua namna Mungu atatimiza ahadi yake.
‘Kutoka Katika Milima Utachimba Shaba’
Mambo ambayo wachimbuaji wa vitu vya zamani walipata yanatusaidia kuelewa namna shaba ilivyotumiwa katika nyakati za Biblia.
TEACH YOUR CHILDREN
Yesu Kristo—Tumukumbuke Kama Mutoto Muchanga ao Kama Mufalme?
Tumukumbuke Yesu kama mutoto muchanga tu? Wale “wanaume wenye hekima” ambao walikuja kumuona Yesu walikuwa nani? Yesu anafanya nini leo?
Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
Sababu gani Kristo atarudia? Atarudia namna gani, na kisha atafanya nini?
Usikose Pia Kusoma Habari Hizi
Jina Mashahidi wa Yehova Ilitoka Wapi?
Ona mahali ambapo tulitosha jina hilo.