MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 1, 2014

Gazeti hili linaonyesha kwamba Yehova ni Mufalme tangu zamani. Pia linatusaidia tusamini zaidi Ufalme wa Masiya na mambo ambayo umetimiza.

Walijitoa kwa Kujipendea​—Katika Afrika Mangaribi

Ni nini iliwachochea ndugu na dada fulani wa Ulaya kuhamia Afrika Mangaribi, na walipata matokeo gani?

Tumuabudu Yehova, Mufalme wa Umilele

Kujifunza namna ambavyo Yehova ametenda kama Baba na namna anavyotawala kutakusaidia umukaribie Yehova zaidi.

Ufalme wa Masiya Umetimiza Nini Katika Miaka Hii 100?

Ufalme huo unaweza kutufanyia nini? Jifunze namna ambavyo Mufalme wa Kimasiya anasafisha, anafundisha, na kupanga vizuri raia wake.

Kijana, Chukua Maamuzi Yenye Hekima

Vijana wengi ambao wamejitoa kwa Yehova wanaendelea kujionea mambo yenye kufurahisha wanapowasaidia wengine. Namna gani unaweza kufanya mengi zaidi katika kazi ya Yehova?

Mutumikie Yehova Mbele ya Siku Zenye Musiba

Ndugu na dada wenye kuzeeka wana nafasi gani ya pekee ili kupanua utumishi wao?

‘Ufalme Wako Uje’​—Lakini, Utakuja Wakati Gani?

Sababu gani tunapaswa kuwa hakika kwamba Mufalme mutiwa-mafuta wa Mungu atachukua hatua zingine ili mapenzi ya Mungu yatendeke kikamili duniani?

Uamuzi Niliochukua Nilipokuwa Kijana Mudogo

Kijana mumoja mudogo wa Columbus, Ohio, Amerika, aliamua kujifunza luga ya Kambuchea. Sababu gani? Namna gani uamuzi huo ulibadili maisha yake?