AMKENI! Februari 2014 | Jinsi ya Kutumia Wakati Wako Vizuri

Wakati ukipita, umepita milele. Chunguza mbinu 4 ambazo zimewasaidia wengi kutumia wakati wao vizuri kufanya mambo muhimu zaidi maishani.

Kuutazama Ulimwengu

Habari zinatia ndani: Biashara haramu ya pembe za ndovu nchini Malasia, kutoaminika kwa kanisa huko Italia, magonjwa barani Afrika, na watoto kucheza kamari huko Australia.

MAONI YA BIBLIA

Kuwasiliana na Pepo

Watu wengi hujaribu kuwasiliana na wafu, lakini Biblia inasema nini kuhusu zoea hilo?

HABARI KUU

Jinsi ya Kutumia Wakati Wako Vizuri

Njia moja ya kutumia wakati wako vizuri ni kwa kuchunguza mambo mawili. Ni mambo gani hayo?

MAHOJIANO

Mwanabiolojia Anaeleza Kwa Nini Anamwamini Mungu

Mambo ambayo Dakt. Hans Kristian Kotlar alijifunza kuhusu mfumo wa kinga yalimfanya atake kujua chanzo cha uhai. Kujifunza Biblia kulijibuje maswali yake?

TUNAYOJIFUNZA KUTOKANA NA HISTORIA

Konstantino

Soma jinsi harakati za Konstantino za kisiasa na za kidini zilivyoathiri imani za makanisa mengi leo.

KUTOKA KWA WASOMAJI WETU

Binti Yako Anapokuwa na Mkazo

Wasichana wengi huhisi wamelemewa na mabadiliko yanayowapata. Wazazi wanawezaje kuwasaidia kushughulikia mkazo huo?

JE, NI KAZI YA UBUNI?

Taa ya Kimulimuli Anayeitwa Photuris

Mdudu huyu mdogo amewasaidiaje wanasayansi kutengeneza balbu zinazotumiwa katika vifaa vingi vya kielektroniki kutoa mwangaza mwingi zaidi?

Habari Zaidi Mtandaoni

Je, Unahangaikia Sura Yako Kupita Kiasi?

Ikiwa una tatizo na sura yako, unaweza kupataje usawaziko?

Rafiki wa Kweli

Ni rahisi kupata marafiki bandia, lakini unawezaje kupata rafiki wa kweli?

Ninapaswa Kujua Nini Kuhusu Kutuma Ujumbe Mchafu?

Je, kuna mtu anayekushinikiza umtumie ujumbe mchafu? Kuna madhara gani ya kutuma ujumbe mchafu? Je, ni tendo lisilo na madhara la kumchezea mtu mwingine kimapenzi?

Vijana Wanazungumza Kuhusu Kutunza Afya

Je, ni vigumu kwako kula vizuri na kufanya mazoezi? Katika video hii vijana fulani wanaeleza mambo ambayo wao hufanya ili kudumisha afya nzuri.

Musa Alelewa Nchini Misri

Kwa nini mama ya Musa alimweka Musa kwenye Mto Nile? Jifunze mengi kumhusu, familia yake, na binti ya Farao.