AMUKA! Mwezi wa 2, 2014

Habari Fulani za Ulimwengu

Habari hizo zinatia ndani: kusafirisha pembe za tembo kwa siri katika inchi ya Malesia, kuaminia kanisa katika inchi ya Italia, magonjwa katika Afrika, na watoto kucheza michezo ya feza katika inchi ya Australia.

MAWAZO YA BIBLIA

Kupashana Habari na Mashetani

Watu wengi wanajaribu kuzungumuza na watu waliokufa, lakini Biblia inasema nini juu ya jambo hilo?

HABARI KUBWA

Namna ya Kutumia Wakati Wako kwa Hekima

Njia moja ya kutumia wakati wako kwa hekima ni kuchunguza maisha yako kupitia maoni mawili. Maoni hayo ni gani?

SEHEMU YA KUULIZA MAULIZO

Mwanasayansi wa Bioteknolojia Anaeleza Imani Yake

Kujifunza mufumo wa kulinda mwili kulimufanya Musomi Hans Kristian Kotlar ajiulize maulizo juu ya namna uzima ulianza. Namna gani kujifunza Biblia kulimusaidia apate majibu ya maulizo yake?

MAMBO YENYE HISTORIA INATUFUNDISHA

Konstantino

Soma namna gani kuchanganya kwa Konstantino mambo ya siasa na dini kulishawishi mafundisho ya makanisa mengi leo.

MUSAADA KWA FAMILIA

Wakati Kijana Wako Mwanamuke Ana Mahangaiko

Vijana wengi wanawake wanajisikia kuwa wanalemewa na mabadiliko yanayowafikia. Namna gani wazazi wanaweza kuwasaidia washinde mahangaiko hayo?

KITU HIKI KILIJIFANYA CHENYEWE?

Taa ya Kidudu Anayetoa Mwangaza

Namna gani kidudu huyo mudogo sana aliwasaidia wanasayansi watengeneze taa za umeme zenye kutoa mwangaza zaidi, zinazotumiwa leo katika vyombo vingi vya kielektroniki?