MNARA WA MLINZI Machi 2015 | Yesu Anatuokoa—Kutokana na Nini?

Je, anatuokoa kutoka kwa Shetani, kutoka kwa hasira ya Mungu, au kutoka kwa kitu kingine?

HABARI KUU

Kwa Nini Tunahitaji Kuokolewa?

Je, Mungu mwenye upendo angeweka ndani yetu tamaa ya kuishi milele halafu afanye iwe vigumu kwetu kufikia tamaa hiyo?

HABARI KUU

Kifo na Ufufuo wa Yesu—Jinsi Unavyoweza Kufaidika

Kweli sita za msingi kutoka kwa Biblia zinaonyesha jinsi mtu mmoja alivyokufa ili watu wengine wapate uhai wa milele.

HABARI KUU

Kifo cha Yesu Huadhimishwa—Lini na Wapi?

Mwaka huu wa 2015, Ukumbusho wa kifo cha Yesu utakuwa Ijumaa, Aprili 3, baada ya jua kushuka.

WASOMAJI WETU WANAULIZA

Je, Ista ni Sikukuu ya Kikristo?

Wasomi wa historia wanasema nini kuhusu sikukuu hii inayopendwa sana?

SIMULIZI LA MAISHA

Macho ya Jairo—Njia Yake ya Kumwabudu na Kumtumikia Mungu

Ingawa anakabili aina mbaya sana ya ugonjwa wa kupooza ubongo, Jairo anafurahi kwa sababu maisha yake yana kusudi.

Je, Wajua?

Uraia wa Roma ulikuwa na faida gani kwa mtume Paulo? Wachungaji walilipwa namna gani katika nyakati za Biblia?

Zawadi Iliyofaa Mfalme

Ingawa leo bidhaa hizi zinaweza kupatikana kwa urahisi, katika nyakati za Biblia zilikuwa na thamani kama dhahabu.

Majibu ya Maswali ya Biblia

Katika sherehe ya kukumbuka kifo cha Yesu, ni nani wanaopaswa kula mkate na kunywa divai?

Habari Zaidi Mtandaoni

Je, Tuabudu Sanamu?

Je, Mungu anajali iwapo tunatumia sanamu katika ibada yetu?