MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 3, 2015 | Yesu Anatuokoa—Namna Gani?

Anatuokoa kutokana na Ibilisi, kutokana na hasira ya Mungu, ao kutokana na kitu kingine?

HABARI KUBWA

Sababu Gani Tuko na Lazima ya Kuokolewa?

Mungu mwenye upendo angeweka ndani yetu tamaa yenye haiwezekane kutimiza?

HABARI KUBWA

Kifo cha Yesu na Ufufuo Wake—Vinaweza Kukuletea Faida Gani?

Mafundisho sita ya musingi ya Biblia yanafasiria namma gani kifo cha mutu mumoja kinaweza kuwaletea watu wengi uzima.

HABARI KUBWA

Ukumbusho wa Kifo cha Yesu—Utafanyika Wapi na Wakati Gani?

Katika mwaka wa 2015, Ukumbusho wa kifo cha Yesu utafanyika Siku ya Tano, tarehe 3 Mwezi wa 4, kisha jua kushuka.

WASOMAJI WETU WANAULIZA

Pasaka Ni Sikukuu ya Kikristo Kabisa?

Watu wenye elimu ya historia wanasema nini juu ya sikukuu hiyo yenye kupendwa na watu wengi?

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Macho ya Jairo—Yanamusaidia Kutumikia Mungu

Hata ikiwa Jairo anasumbuliwa na aina ya kupooza ubongo iliyo kali sana, maisha yake ni yenye furaha na maana.

Ulijua?

Kuwa na uraia wa Roma kulimuletea mutume Paulo faida gani? Namna gani wachungaji walikuwa wanalipwa wakati wa zamani?

Zawadi Zenye Zilistahili Mufalme

Hata ikiwa vikolezo hivyo vinaweza kuwa vya kawaida leo, wakati wa zamani vikolezo fulani vilikuwa vya bei sana kama zahabu.

Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Kwenye tukio la kukumbuka kifo cha Yesu, ni nani wanastahili kula mukate na kunywa divai?