MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Novemba 2015

Toleo hili lina makala za funzo za Desemba 28, 2015, hadi Januari 31, 2016.

Mzoeze Mtoto Wako Amtumikie Yehova

Sifa tatu ambazo Yesu alionyesha alipokuwa akifundisha zinaweza kukusaidia sana unapowazoeza watoto wako.

Mzoeze Kijana Wako Amtumikie Yehova

Unawezaje kumsaidia kijana wako atumie wakati wa kubalehe kukomaa kiroho?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Ni nini kinachothibitisha kwamba Waisraeli walishinda jiji la kale la Yeriko

baada ya kulizingira kwa muda mfupi?

Thamini Ukarimu wa Yehova

Biblia huonyesha nia inayofaa na isiyofaa ya kutoa wakati, nguvu na mali.

Yehova Ni Mungu wa Upendo

Yehova ameonyeshaje kwamba anawapenda wanadamu?

Je, ‘Unampenda Jirani Yako Kama Unavyojipenda’?

Unaweza kutii amri ya Yesu katika ndoa, kutanikoni, na unapohubiri.

Miaka Mia Moja ya Utawala wa Ufalme!

Ni mambo gani matatu ambayo yametusaidia kuhubiri ujumbe wa Ufalme?

HIFADHI YETU YA VITU VYA KALE

“Msiruhusu Kitu Chochote Chini ya Jua Kiwazuie!”

Watumishi wa wakati wote wa miaka ya 1930 nchini Ufaransa, waliacha historia nzuri ya bidii na uvumilivu.