MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 11, 2015

Gazeti hili lina habari za kujifunza tarehe 28 Mwezi wa 12, 2015 mupaka tarehe 31 Mwezi wa 1, 2016.

Uzoeze Mutoto Wako Amutumikie Yehova

Sifa tatu zenye Yesu alionyesha wakati alikuwa anahubiri zinaweza kuwasaidia mupate matokeo mazuri wakati munazoeza watoto wenu.

Uzoeze Kijana Wako Amutumikie Yehova

Namna gani unaweza kusaidia kijana wako atumie miaka ya ujana wake ili akomae kiroho?

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Ni ushuhuda gani wenye kuonyesha kwamba muji wa Yeriko wa zamani ulikamatwa kisha kuzungukwa kwa muda mufupi?

Yehova Ni Mungu wa Upendo

Namna gani Yehova ameonyesha kwamba anawapenda wanadamu?

‘Unamupenda Jirani Yako Kama Wewe Mwenyewe’?

Unaweza kutumia amri hiyo ya Yesu katika ndoa yako, katika kutaniko lenu, na katika kazi yako ya kuhubiri.

Miaka 100 ya Utawala wa Ufalme!

Tumetumia njia gani tatu ili kuhubiri Ufalme wa Mungu?