Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MUNARA WA MULINZI Na. 2 2017 | Utakubali Zawadi ya Mungu Yenye Kuwa Kubwa Zaidi?

UNAWAZA NAMNA GANI?

Ni zawadi gani yenye kuwa kubwa zaidi yenye Mungu amekwisha kutupatia?

Biblia inasema hivi: ‘Mungu aliupenda ulimwengu sana hivi kwamba akamutoa Mwana wake muzaliwa-pekee.’Yohana 3:16.

Munara wa Mulinzi huu unazungumuzia sababu gani Mungu alituma Yesu duniani ili akufe kwa ajili yetu na namna gani tunaweza kuonyesha shukrani yetu kwa zawadi hiyo.

 

HABARI KUBWA

Zawadi Yenye Kuwa Tofauti na Zingine

Biblia inazungumuzia zawadi yenye bei sana yenye inaweza kuletea wale wenye kuikubali baraka ya uzima wa milele. Kunaweza kuwa zawadi yenye bei kuliko hiyo?

HABARI KUBWA

Zawadi ya Mungu Yenye Kuwa Kubwa Zaidi—Sababu Gani Ni ya Maana Sana?

Ni mambo gani yanafanya zawadi fulani ikuwe ya maana zaidi kuliko ingine? Kufikiri juu ya mambo hayo kunaweza kutusaidia kuongeza shukrani yetu kwa ajili ya zabihu ya ukombozi.

HABARI KUBWA

Zawadi ya Mungu Yenye Kuwa Kubwa Zaidi Itakuchochea Kufanya Nini?

Upendo wa Kristo umetulazimisha kufanya nini?

Viongozi wa Dini za Kikristo Wanapaswa Kubaki Bila Kufunga Ndoa?

Dini fulani zinaomba viongozi wa dini zao wabaki bila kufunga ndoa. Lakini Maandiko yanafundisha nini juu ya jambo hilo?

Kutoka Katika Utumwa—Wakati wa Zamani na Wakati Wetu

Wakati wa zamani, watu wa Mungu walitoka katika utumwa. Jambo la kuhuzunisha ni kwamba, mamilioni ya watu wangali wanateseka katika hali hiyo ya ukosefu wa haki.

Furahia Baraka ya Kutoa

Kutoa kunakuletea faida wewe na watu wengine. Kunatia nguvu uhusiano na urafiki. Namna gani unaweza kuwa mutoaji muchangamufu?

Biblia Inasema Nini?

Biblia inasema kwamba “siku za mwisho” zingekuwa “na nyakati za hatari zilizo ngumu kushugulika nazo.” Maelezo hayo yanapatana na wakati wetu?

Usikose Pia Kusoma Habari Hizi

Namna Gani Kifo ya Yesu Ni Zabihu ya Ukombozi kwa Ajili ya Watu Wengi?

Namna gani bei ya ukombozi inatukomboa kutoka mu zambi?