MUNARA WA MULINZI Na. 3 2017 | Wapanda-Farasi Ine—Wanakuhusu Namna Gani?
UNAWAZA NAMNA GANI?
Mwendo wa wapanda-farasi ine wenye kuzungumuziwa katika kitabu cha Ufunuo ni moja kati ya habari zenye kujulikana zaidi katika kitabu hicho. Habari hiyo inaogopesha watu fulani. Wengine wanavutiwa na habari hiyo. Ona jambo lenye Biblia inasema kuhusu unabii kama huo:
“Mwenye furaha ni yeye anayesoma kwa sauti na wale wanaosikia maneno ya unabii huu.”—Ufunuo 1:3.
Munara wa Mulinzi huu unaonyesha namna mwendo wa wale wapanda-farasi ine unaweza kuwa habari njema kwetu.
HABARI KUBWA
Namna Wapanda-Farasi Ine Wanakuhusu
Farasi ine—wa mweupe, wa mwekundu, wa mweusi, na wa kijivu. Mwendo wao ni moja kati ya habari zenye kujulikana zaidi katika Ufunuo, kitabu cha mwisho cha Ufunuo.
Ushuhuda mwingine
Pengine haujue kama Tatenai alikuwa nani, lakini vitu vyenye kuchimbuliwa ambavyo vinamutaja vinashuhudia juu yake.
BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU
Nilipenda Besiboli Kuliko Kitu Kingine!
Samuel Hamilton alipenda sana kabisa michezo, lakini funzo la Biblia lilibadilisha maisha yake.
TUIGE IMANI YAO
‘Wewe Ni Mwanamuke Mwenye Sura Nzuri’
Katika Misri, wakubwa katika utawala wa Farao walitambua kwamba Sara alikuwa murembo sana. Jambo lenye linatokea kisha linaweza kukushangaza.
Biblia Inasema Nini?
Mungu anapendelea kikundi fulani cha watu? Watu fulani wamebarikiwa na wengine wamelaaniwa?