MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 12, 2017

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 29 Mwezi wa 1 mupaka tarehe 25 Mwezi wa 2, 2018.

“Ninajua Atafufuka”

Namna gani tunaweza kuwa hakika kuwa kutakuwa ufufuo wakati wenye kuja?

“Nina Tumaini kwa Mungu”

Sababu gani ufufuo ni la musingi la imani ya Wakristo?

Unakumbuka?

Umesoma kwa uangalifu habari za hivi karibuni katika Munara wa Mulinzi? Ona ikiwa unaweza kujibia maulizo ngapi yenye kutegemea Biblia.

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Katika Israeli ya zamani, kizazi chenye kuongoza kwa Masiya kilipitishwa tu kupitia haki ya kuwa muzaliwa wa kwanza?

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Wakristo wenye kuoana wanaweza kuona ufundi wa kuweka chombo fulani katika tumbo la uzazi kuwa njia yenye kupatana na Maandiko ya kuzuia kupata mimba?

Wazazi​—Musaidie Watoto Wenu Wakuwe na “Hekima kwa Ajili ya Wokovu”

Wazazi wengi wanakuwa na wasiwasi wakati mutoto wao anapenda kuchukua hatua ya kujitoa kwa Yehova na kubatizwa. Namna gani wanaweza kusaidia kabisa watoto wao wakomae ili kufikia wokovu?

Vijana​—‘Muendelee Kufanyia Kazi Wokovu Wenu Wenyewe’

Ubatizo ni hatua nzito, lakini ni hatua yenye vijana hawapaswe kuogopa ao kuepuka.

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Ninaacha Vitu Nyuma ili Kumufuata Bwana

Felix Fajardo alikuwa na miaka 16 tu wakati aliamua kuwa mwanafunzi wa Kristo. Kisha kupita zaidi ya 70 hajute juu ya kumufuata Bwana mahali popote penye alimuongoza.

Habari Zenye Zilizungumuziwa Katika Munara wa Mulinzi 2017

Liste hii itakusaidia kupata habari mbalimbali zenye zilizungumuziwa katika Munara wa Mulinzi katika mwaka wa 2017.