MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Februari 2018

Toleo hili lina makala za funzo za Aprili 2 hadi 29, 2018.

Iga Imani na Utii wa Noa, Danieli, na Ayubu

Wanaume hao waaminifu walikabili baadhi ya hali ngumu tunazokabili leo. Ni nini kilichowasaidia kudumisha utimilifu wao?

Je, Unamjua Yehova Kama Noa, Danieli, na Ayubu?

Ni nini kilichowasaidia wanaume hao kumjua Mweza-Yote? Ujuzi huo uliwanufaishaje? Tunaweza kusitawishaje imani kama yao?

SIMULIZI LA MAISHA

Mambo Yote Yanawezekana kwa Yehova

Maneno machache yaliyosikiwa kwenye basi nchini Kyrgyzstan yalibadili maisha ya wenzi fulani wa ndoa.

Inamaanisha Nini Kuwa Mtu wa Kiroho?

Biblia inafafanua sifa za “mtu wa kiroho” na mambo yanayomtofautisha na “mtu wa kimwili.”

Songa Mbele Ukiwa Mtu wa Kiroho!

Ujuzi wa Biblia pekee hautoshi kutufanya tuwe watu wa kiroho. Ni nini kingine kinachohitajika?

Shangwe​—Sifa Inayotoka kwa Mungu

Ikiwa hali ngumu za kila siku zinakufanya upoteze shangwe yako, unaweza kufanya nini ili kurudisha shangwe uliyokuwa nayo mwanzoni?

HIFADHI YETU YA VITU VYA KALE

Hotuba za Watu Wote Zasaidia Kueneza Habari Njema Nchini Ireland

Ni nini kilichomsadikisha C. T. Russell kwamba shamba ‘lilikuwa tayari kuvunwa’?