MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Mei 2018

Toleo hili lina makala za funzo za Julai 9 hadi Agosti 5, 2018.

SIMULIZI LA MAISHA

Nilikuwa Maskini​—Sasa Ni Tajiri

Samuel Herd alilelewa katika familia maskini, lakini sasa yeye ni tajiri kiroho, ametajirika kuliko jinsi ambavyo angeliweza kuwazia.

Amani​—Unaweza Kuipataje?

Kwa kuwa tunaishi katika ulimwengu wenye misukosuko, ni lazima tujitahidi sana ili tuwe na amani. Neno la Mungu linaweza kutusaidia.

Yehova Anawapenda Wale ‘Wanaozaa Matunda kwa Uvumilivu’

Huenda tukavunjika moyo tunapohubiri katika maeneo ambayo watu hawapendezwi sana na ujumbe wetu. Ingawa hivyo, sote tunaweza kuwa na huduma yenye matokeo mazuri.

Kwa Nini ‘Tunaendelea Kuzaa Matunda Mengi’?

Ni muhimu tuzingatie akilini sababu zinazotufanya tuhubiri.

Mjue Adui Yako

Hatukosi kuzijua njama au mbinu ambazo Shetani anatumia kuwapotosha watu.

Vijana​—Simameni Imara Mmpinge Ibilisi

Sisi sote tumo katika vita vya kiroho. Vijana ndio wanaoonekana kuwa rahisi kushambuliwa, lakini wamejivika silaha kwa ajili ya vita.

Mavuno Tele!

Katika eneo moja nchini Ukrainia, robo ya idadi ya watu ni Mashahidi wa Yehova!