Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

MUNARA WA MULINZI Na. 2 2018 | Maisha Yako ya Wakati Wenye Kuja Yatakuwa Namna Gani?

MAISHA YAKO YA WAKATI WENYE KUJA YATAKUWA NAMNA GANI?

Umekwisha kujiuliza namna maisha yako ya wakati wenye kuja yatakuwa kwa ajili yako na familia yako? Biblia inasema hivi:

“Waadilifu [ao, wenye haki] wenyewe wataimiliki [ao, watariti] dunia, nao watakaa milele juu yake.”​—Zaburi 37:29.

Gazeti hili la Munara wa Mulinzi litakusaidia kujua kusudi la muzuri lenye Mungu iko nalo kwa ajili ya wanadamu na kwa ajili ya dunia, na litaonyesha mambo yenye unaweza kufanya ili kufaidika na kusudi hilo.

 

Kutabiri Wakati Wenye Kuja

Kwa maelfu ya miaka, watu wamejaribu kutoa mawazo mbalimbali kuhusu mambo ya wakati wenye kuja​—lakini na matokeo tofauti.

Unajimu na Kutabiri Matukio​—Vinatusaidia Kujua Wakati Wenye Kuja?

Unaweza kutumainia njia hizo za kutabiri matukio?

Unabii Mbalimbali Wenye Umetimia

Unabii mbalimbali wa pekee wenye kuwa katika Biblia ulitimia kama vile ilitabiriwa.

Ushahidi wa Kimya-Kimya Wenye Kuonyesha Kama Unabii wa Biblia Ni wa Kweli

Munara wa ukumbusho (monument) wa zamani wenye kuwa katika Roma unatoa ushahidi kama unabii wa Biblia ni wa kweli.

Ahadi Zenye Zitatimia

Ahadi nyingi za Biblia zimekwisha kutimia, lakini zingine zitatimia wakati wenye kuja.

Unaweza Kuishi Milele Katika Dunia

Biblia inaonyesha kusudi lenye Muumbaji iko nalo kwa ajili ya wanadamu.

Wakati Wako Wenye Kuja, Unategemea Uamuzi Wako!

Watu fulani wanaamini kama mambo yenye yanawafikia yamekwisha kupangwa zamani na kwamba ni hilo ndilo linaongoza maisha yao. Lakini, wanasema kweli?

Wapole Watariti Dunia

Biblia inaahidi kama kuko siku yenye ukosefu wa haki na uovu havitakuwa tena.