MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 7, 2018

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 3 mupaka tarehe 30 Mwezi wa 9, 2018.

THEY OFFERED THEMSELVES WILLINGLY

Walijitoa kwa Kujipendea​​—Katika Myanmar

Ni nini ilichochea Mashahidi wa Yehova wengi watoke katika inchi zao ili kuenda kusaidia katika mavuno ya kiroho katika Myanmar?

Unatafuta Kukubaliwa na Nani?

Namna Mungu anaonyesha kama anakubali watumishi wake waaminifu inaweza kutufundisha nini?

Macho Yako Yanaangalia Wapi?

Kosa nzito lenye Musa alifanya linaweza kutufundisha jambo fulani la maana.

“Ni Nani Iko Upande wa Yehova?”

Habari ya Biblia juu ya Kaini, Sulemani, Musa, na Haruni inaonyesha sababu gani ni jambo la hekima kuwa upande wa Yehova.

Sisi Ni wa Yehova

Namna gani tunaweza kumuonyesha Yehova kama tuko wenye shukrani kwa sababu ametuwezesha kuwa na uhusiano pamoja naye?

Onyesha Huruma “Watu wa Namna Zote”

Iga huruma ya Yehova kwa kuona mahitaji na magumu ya wengine na kwa kuwasaidia kama uko na uwezo wa kufanya vile.

Maulizo ya Wasomaji Wetu

Je, mwanaume na mwanamuke wenye hawaoane watakuwa na hatia ya zambi nzito kama wanapitisha usiku pamoja bila sababu zenye kufaa?