MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Agosti 2018

Toleo hili lina makala za funzo za Oktoba 1-28, 2018.

Je, Una Habari Kamili?

Taja kanuni tatu za Biblia zinazoweza kutusaidia kuchanganua habari kwa usahihi.

Usihukumu kwa Kutazama Sura ya Nje

Jifunze mambo matatu, ambayo tukiwahukumu wengine kwa kuyategemea tutaonyesha kwamba hatuna hekima.

SIMULIZI LA MAISHA

Nimeazimia Sitalegeza Mikono Yangu

Jifunze kuhusu mambo yenye kusisimua ambayo Maxim Danyleyko amefurahia katika miaka 68 ya utumishi wa umishonari.

Watu Wanaotoa kwa Ukarimu Ni Watu Wenye Furaha

Ukarimu wetu una uhusiano gani na shangwe yetu?

Fanya Kazi Pamoja na Yehova Kila Siku

Ni katika njia zipi tano tunazoweza kuwa wafanya kazi wenzi na Yehova?

Subira​—Kuvumilia Ukiwa na Kusudi

Jifunze maana ya sifa ya subira inayotoka kwa Mungu, jinsi ya kuisitawisha, na manufaa ya kufanya hivyo.

HIFADHI YETU YA VITU VYA KALE

Jinsi Mbegu za Kwanza za Ufalme Zilivyopandwa Nchini Ureno

Wahubiri wa Ufalme wa kwanza-kwanza nchini Ureno walikabili hali zipi ngumu?