MUNARA WA MULINZI—GAZETI YA FUNZO Mwezi wa 8, 2018

Gazeti hili liko na habari za kujifunza tarehe 1 mupaka tarehe 28 Mwezi wa 10, 2018.

Unajua Ukweli wa Mambo?

Ni kanuni gani tatu za Biblia zenye zinaweza kutusaidia tuchunguze habari muzuri?

Usihukumu Mutu Kulingana na Namna Anaonekana kwa Inje

Ujifunzenjia tatu zenye kuonyesha kama haiko jambo la hekima kuhukumu wengine kulingana na namna wanaonekana kwa inje.

HABARI JUU YA MAISHA YA WATU

Nimeazimia Kama Sitaacha Mikono Yangu Iregee

Ujifunze juu ya mambo yenye kufurahisha yenye Maxim Danyleyko amefurahia katika miaka 68 yenye amefanya katika kazi ya umisionere.

Watu Wenye Kutoa kwa Ukarimu Ni Wenye Furaha

Sababu gani tunakuwa na furaha wakati tunaonyesha ukarimu?

Fanya Kazi Pamoja na Yehova Kila Siku

Ni katika njia gani tano tunaweza kuwa wafanyakazi pamoja na Yehova?

Uvumilivu​—Onyesha Sifa Hii na Uko na Tumaini

Ujifunze maana ya sifa ya Mungu ya uvumilivu, namna tunaweza kuikomalisha, na faida za kufanya vile.

VITU VYA MAANA SANA VYA HISTORIA YETU

Namna Mbegu za Kwanza za Ufalme Zilipandwa Katika Ureno

Wahubiri wa kwanza wa Ufalme katika Ureno walishinda vizuizi gani?