Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MNARA WA MLINZI Na. 3 2018 | Je, Mungu Anakujali?

JE, MUNGU ANAKUJALI?

Majanga yanapotokea au watu wanapoteseka na kufa, huenda tukajiuliza ikiwa kweli Mungu anaona kinachoendelea au hata ikiwa anajali. Biblia inasema:

“Kwa maana macho ya Yehova yanawatazama waadilifu, na masikio yake yanasikiliza dua yao, lakini uso wa Yehova uko dhidi ya wale wanaotenda maovu.”—1 Petro 3:12.

Toleo hili la Mnara wa Mlinzi linaonyesha jinsi Mungu anavyotusaidia na jinsi ambavyo hivi karibuni ataondoa hali zote ngumu zinazofanya tuteseke.

 

“Kwa Nini Mungu Hakufanya Chochote?”

Je, umewahi kupatwa na hali iliyofanya ujiulize ikiwa kweli Mungu anakujali?

Je, Mungu Anakuona na Kukutambua?

Ni mambo gani yanayothibitisha kwamba Mungu anakuthamini sana na kukujali?

Je, Mungu Anakuelewa?

Kwa kuwa Mungu ana ujuzi wa pekee kutuhusu na kuhusu chembe zetu za urithi, tuna uhakika kwamba anatuelewa vizuri sana.

Je, Mungu Huhisi Maumivu Yako?

Biblia inatuhakikishia kwamba Mungu hutuona na kututambua, hutuelewa, na kuhisi maumivu yetu.

Kuteseka kwa Wanadamu​—Je, Ni Adhabu Kutoka kwa Mungu?

Je, Mungu hutumia magonjwa na majanga kuwaadhibu watu kwa sababu ya dhambi zao?

Nani wa Kulaumiwa?

Biblia hutaja mambo matatu makuu yanayosababisha wanadamu wateseke.

Hivi Karibuni Mungu Atakomesha Mateso Yote

Tunawezaje kuwa na uhakika kwamba hivi karibuni Mungu ataondoa mateso yote na ukosefu wa haki?

Jinsi Upendo wa Mungu Unavyoweza Kukunufaisha

Maandiko yanatusaidia kuamini ahadi za Mungu kuhusu maisha mazuri wakati ujao.

Mungu Anahisije Anapoona Ukiteseka?

Maandiko yaliyotajwa ndani ya makala yatakusaidia kuelewa jinsi Mungu anavyohisi anapoona ukiteseka.